Dingi alimuuliza mwanawe; 'hivi we mtoto, ninapokupiga hasira zako unazimalizia wapi?'
Dogo akajibu: 'chooni'
Dingi akauliza tena: 'sasa chooni unamalizia vipi hasira zako?'
Dogo akajibu: kwa hasira huwa nasafisha tundu la choo kwa kutumia mswaki wako!.' akazirai..!
[/QUO TE]
Joke safi sana, ila hapo 'Baba kazirai' imeniharibia utamu.
Weka mpya