PNC
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 8,106
- 14,353
Dingi alimuuliza mwanawe; 'hivi we mtoto, ninapokupiga hasira zako unazimalizia wapi?'
Dogo akajibu: 'chooni'
Dingi akauliza tena: 'sasa chooni unamalizia vipi hasira zako?'
Dogo akajibu: kwa hasira huwa nasafisha tundu la choo kwa kutumia mswaki wako!.' Dingi akazirai..!
Dogo akajibu: 'chooni'
Dingi akauliza tena: 'sasa chooni unamalizia vipi hasira zako?'
Dogo akajibu: kwa hasira huwa nasafisha tundu la choo kwa kutumia mswaki wako!.' Dingi akazirai..!