Usimuulize gharama ya Ujenzi mtu mwenye nyumba

Usimuulize gharama ya Ujenzi mtu mwenye nyumba

Kuna kipindi nilikua nataka kujenga nyumba nikawa
najaribu kuulizia gharama hapa na pale on how i can make it mpaka finishing nyumba simple ya room 3

Most of my friends ambao walikua wamesha jenga walikua wanataja gharama kubwa sana ili tu ionekane nyumba zao ni gharama na wengine wanakatisha tamaa kabisa,

on reality ujenzi wa nyumba ni gharama ila sio kama wengi wanavyo katisha watu tamaaa

ukiwa na commitment tu unaweza kujenga

so vijana acheni kuuliza sana tafuta wataalamu wa makadilio ya ujenzi then bei za materials ulizia mwenyewe na usimamie mpaka mwisho,

Punguza kula bia kuhonga utajenga kabla ya kustaafu,

usitegemee kutumia pesa ya pension kwenye ujenzi utawatesa watoto wako na kuwalaumu hawakujali.
Uko sahihi sana,wengi wanajitutumua ili ionekane wako vizuri kifedha ila gharama nyingine tunazotajiwa sio za kweli.
 
Kuna kipindi nilikua nataka kujenga nyumba nikawa
najaribu kuulizia gharama hapa na pale on how i can make it mpaka finishing nyumba simple ya room 3

Most of my friends ambao walikua wamesha jenga walikua wanataja gharama kubwa sana ili tu ionekane nyumba zao ni gharama na wengine wanakatisha tamaa kabisa,

on reality ujenzi wa nyumba ni gharama ila sio kama wengi wanavyo katisha watu tamaaa

ukiwa na commitment tu unaweza kujenga

so vijana acheni kuuliza sana tafuta wataalamu wa makadilio ya ujenzi then bei za materials ulizia mwenyewe na usimamie mpaka mwisho,

Punguza kula bia kuhonga utajenga kabla ya kustaafu,

usitegemee kutumia pesa ya pension kwenye ujenzi utawatesa watoto wako na kuwalaumu hawakujali.
Kingine ukitaka kufanya kitu cha maana, usiulize, anza hima.
Ujenzi wenyewe wa mikopo ama kudunduliza kwenye mishahara ama biashara ndogondogo, unauliza ili iweje, wakati dhamira yako ni kujenga?

Baada ya kupata "site", uliza bei ya tofari ama saruji, uliza gharama ya tripu ya mchanga, trip ya mawe, choresha ramani, pata kibali cha ujenzi kama ni mjini, kisha ita fundi.
Kwenye mafundi ndiyo mtihani. Ukifolenisha mafundi 1000, kila mmoja na bei yake na ujuzi wa ujenzi wanatofautiana pia.

Hivyo ujenzi hauna gharama maalumu, bali ni uamzi wako tu.
Na ukishaanzisha, utavutiwa na kuuona mwisho wa ujenzi wako. Utajibana kwenye starehe ili utimize lengo lako ili mwisho wa siku upate cheo cha heshima cha "baba mwenye nyumba" badala ya baba anayepita na gari hapa kila siku.
 
Kwa kweli kwa usawa huu wa huyu jamaa kama una kibanda cha kujibanza ni jambo la kumshukulu mungu,vijana tujenge nyumba,tupunguze gharama zisizo maana.
 
Nimetumia 20M mpaka kupaua kabla ya finishing
Unafikiri mtu anayejenga sehemu ya tambarare na anayejenga kwenye mteremko gharama itakua sawa? Anayejenga kwenye tifu tifu na mfinyanzi ni sawa?

Tofali mbagala ni 950 tabata ni 1100....
 
kwanza wezi wa kwanza ndio hao mafundi na wataalamu wa ramani, na nyumba ya kawaida huhitaji sana ushauri wao labda kama unajenga nyumba kubwa au gorofa. kiukweli wao wanakuwa wanaweka baadhi ya vitu tu kuhakisha angalau wanapata pesa nzuri za ki-ufundi. mfano mzuri ni hizi bati za Sauz Africa (migongo mipana), ukiona fundi anakwambia nenda kanunue mahali flani, basi jua anacho cha juu (commision) hapo.

Wewe enda ulizia bei na ulizia na mahala pengine, maeneo ya kule Arusha mimi nilinunua kiwandani (unga ltd) zikakatwa saafi na kwa bei nzuri sana, kiufipi niliokoa sh400,000 nikapata na hela za usafirishaji. kwa hiyo kabla ya kujenga au kununua kitu fanya mahesabu yako kwanza, na hakikisha fundi/mchoramani unamuuliza maswali magumu mpaka anakereka. sasa usijeniulize mimi nimetumia sh ngapi kujenga nyumba ya room 3 master, kozi nimejenga kwa kuunga unga sana, na hakuna daftari la ujenzi.
 
Mara zote kumbuka hesabu ya material fundi atakayokupa huwa inapelea. Unajikuta unaongeza materials kibao, haswa kwenye makadirio ya foundation kukiwa eneo lina slope kali.

Mimi ilizidi karibuni 2M. Ilibd kufunga mikanda miwili, tofali zikaongezeka maradufu nondo maradufu na cement maradufu achilia mbali kifusi trip za kutosha.
 
Nimetumia 20M mpaka kupaua kabla ya finishing
Ukishamaliza finishing rejea gharama walizokupa rafiki zako ulinganishe na gharama walizokupa. Pia kumbuka kwenye finishing watu wanatumia materials za gharama na viwango tofauti.
Kingine hata hio 20m uliotumia mpaka kuezeka kuna mwingine ukimpa hio hesabu ataona unamkatisha tamaa.
 
Kuna kipindi nilikua nataka kujenga nyumba nikawa
najaribu kuulizia gharama hapa na pale on how i can make it mpaka finishing nyumba simple ya room 3

Most of my friends ambao walikua wamesha jenga walikua wanataja gharama kubwa sana ili tu ionekane nyumba zao ni gharama na wengine wanakatisha tamaa kabisa,

on reality ujenzi wa nyumba ni gharama ila sio kama wengi wanavyo katisha watu tamaaa

ukiwa na commitment tu unaweza kujenga

so vijana acheni kuuliza sana tafuta wataalamu wa makadilio ya ujenzi then bei za materials ulizia mwenyewe na usimamie mpaka mwisho,

Punguza kula bia kuhonga utajenga kabla ya kustaafu,

usitegemee kutumia pesa ya pension kwenye ujenzi utawatesa watoto wako na kuwalaumu hawakujali.
Mpaka unapata mafao hao watoto wako si watakuwa na miji yao. Labda utese wajukuu. Tuzae mapema
 
Mwenye nyumba au NSSF.

Hawa jamaa waliniletea nyumba ya vyumba viwili,jiko, sebure na dining kwa 30mil nikahisi ndoto za kuitwa mwenye nyumba zinaondoka.

Kumbe doh, wanafanya biashara.
Hapa wengi ndio huwa mnakosea. Unasahau hio 30m imejumlisha na bei ya kiwanja. Mfano kiwanja 10m, hapo imebaki 20m ya ujenzi. Kwako 20m kujenga nyumba mpaka ikamilike kila kitu unaona ajabu?! Na nssf ni biashara haya weka na faida yao bei inategemea itakuwa kiasi gani?

Au tuseme umejenga mwenyewe hio nyumba ya vyumba viwili umetumia 20m utaiuza bei gani? Kumbuka 20m ni gharama za ujenzi tu bado bei ya kiwanja na faida yako kwa uwekezaji huo.
 
Ujenzi wa nyumba inategemea na vitu vingi sana ambavyo kila mtu anaweza kukutana navyo tofauti kutokana na aina ya nyumba, aina ya udongo, aina ya materials ya kujengea.

Vifaa vya ujenzi vina tofauti sana haswa ubora. Kuna vitu kama msingi wengine wanafunga mkanda wengine hawafungi, kuna renta wengine wanaweka nondo tatu wengine wanaweka nne.

Kwenye bati kuna wengine wanaweka vigae, kuna wengine wanaweka decra kuna wengine wanaweka bati la kawaida kabisa yale ya zamani.

Kwenye finishing ndio kuna tofauti kubwa sana. Kitasa kipo cha elfu kumi mpaka cha milioni moja. Choo kipo cha elfu 20 mpk cha milioni mbili.

Unaweza kuona nyumba zinafanana sana kwa nje lakini nyingine imeizidi mara mbili kutokana na materials aliyoyatumia.
 
Hapa wengi ndio huwa mnakosea. Unasahau hio 30m imejumlisha na bei ya kiwanja. Mfano kiwanja 10m, hapo imebaki 20m ya ujenzi. Kwako 20m kujenga nyumba mpaka ikamilike kila kitu unaona ajabu?! Na nssf ni biashara haya weka na faida yao bei inategemea itakuwa kiasi gani?

Au tuseme umejenga mwenyewe hio nyumba ya vyumba viwili umetumia 20m utaiuza bei gani? Kumbuka 20m ni gharama za ujenzi tu bado bei ya kiwanja na faida yako kwa uwekezaji huo.
Na hili ndo wengi hawaliwazii kwenye hizo ishu
 
Ujenzi wa nyumba inategemea na vitu vingi sana ambavyo kila mtu anaweza kukutana navyo tofauti kutokana na aina ya nyumba, aina ya udongo, aina ya materials ya kujengea.

Vifaa vya ujenzi vina tofauti sana haswa ubora. Kuna vitu kama msingi wengine wanafunga mkanda wengine hawafungi, kuna renta wengine wanaweka nondo tatu wengine wanaweka nne.

Kwenye bati kuna wengine wanaweka vigae, kuna wengine wanaweka decra kuna wengine wanaweka bati la kawaida kabisa yale ya zamani

Kwenye finishing ndio kuna tofauti kubwa sana. Kitasa kipo cha elfu kumi mpaka cha milioni moja. Choo kipo cha elfu 20 mpk cha milioni mbili

Unaweza kuona nyumba zinafanana sana kwa nje lakini nyingine imeizidi mara mbili kutokana na materials aliyoyatumia
📌
 
Kwa kweli kwa usawa huu wa huyu jamaa kama una kibanda cha kujibanza ni jambo la kumshukulu mungu,vijana tujenge nyumba,tupunguze gharama zisizo maana.
Wengi wanauliza bei ya kujenga wanaogopa wanaishia kununua magari watu wengi awam hii wameadhirika unakuta mtu kazi hana ana gari kuuza gari bei zenyewe ndohivo huyu mkuu amekumbusha kitu mhim maisha jaman yanabadirika
 
Back
Top Bottom