Bill of Quantity
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 1,233
- 406
Wakuu! Habari zenu??
Mimi mwenzenu hapa nasumbuliwa sana na usingizi baada ya kupata chakula cha mchana.
Tatizo ni nini hasa?
Kuna solution ya hili tatizo wakuu??
Mimi mwenzenu hapa nasumbuliwa sana na usingizi baada ya kupata chakula cha mchana.
Tatizo ni nini hasa?
Kuna solution ya hili tatizo wakuu??
