Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,265
cz unatumia wa kulia maranyingi thats y mkono wa kulia unakuwa uko sharp vs wa kushoto
kuhusu usingizi n its mechanism braza here we go...KOPE ZIKISHACHOKA znafanya liquid qqpobdhterr ipungue na ivyo nyayo ya mguu wa kulia inaanza kuvuta na mwishowe cl na hel ikishamiks na mg ikisaidiwa na aluminium sodium chloride znasababisha potasium magnesium zishindwe kusukuma damu NA NDIPO APO MACHO UJIFUNGA(window closed) NA kwa kiswahili cha mtaan ndo mnaita USINGIZI lakin kwa sisi WANABAIOLOJIA tunaita cfhyvsuhquedhzzgu4.3
nawasilisha
ONYO😛INGAMIZI LOLOTE WASILIANA NA WAKILI WANGU dnt try kunipinga direct u wil suffer....ebu mie nkalale usingizi tayar apa!!!!!
You made my day darling! lala saama (umechoka kinoma) kwi kwi kwi