trudie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 3,668
- 8,745
Heee kumbe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmecheka sana dah nilimjibu serious mwenyewe kumbe ananichoraHata Hiyo I'd uliyo ijibu ni yake[emoji16][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heee kumbe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmecheka sana dah nilimjibu serious mwenyewe kumbe ananichoraHata Hiyo I'd uliyo ijibu ni yake[emoji16][emoji1787]
Huoni kani rarua matusi😁😁, tusha mjua so hasumbui🤣😂Heee kumbe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmecheka sana dah nilimjibu serious mwenyewe kumbe ananichora
Kama ulivyo mwenyewe sioSiwezi fungua upumbavu
Kila MTU ana haki ya kupenda[emoji15][emoji134]wenzio tunakosa usingizi tukikosa maokoto ,ww mtu anakukosesha usingizi ##tafuta pesa kijana
Kakojoe ukalaleYani unani quote maratatu kwa ajili ya kujitetea 🤔 nasemaje tunaijua hio
Mwamba ndio huyuHuu ujasiri wa hali ya juu
Shida yako nini?sina hakika kwa umaarufu wa Money Penny hapa Jf anaweza kujipigia promo kwa namna hii!
Mleta mada ametokea alikotokea na kupandisha uzi huu labda hana ABC za Jf na members wake
Uliambiwa uhamie auNakupenda sana tanzania
sihamii burundi kama tulivoelekezwa
Thank you darlingAsilimia 90 ya wadada wanaotumia huu mtandao sio warembo ila wapo smart na wana akili mingiiii.
Angekuwa haujui asingeandikaWe Mpuuzi(in Kicheche's voice)
Unaujua usingizi wewe?
Honger sanThank you darling
Ila Mimi I have both
Beauty with brains
Thank youKuna wengne sio mpaka wakutamkie boss they use more actions than words mfano kufatilia nyuzi zako hata zile ulizoanzaga nazo hata hayo ni mapenzi, YOU'RE LOVED [emoji4]
Unajua ndio maana uko na kichwa kibaya Kwa picha yakoWewe mama umepende yeye sio yeye aje akutongoze hadharani namna hii, hana adabu hyu mtoto.
Mqache atongoze we inakuuma nini?.Mleta uzi anatongoza.
Kweli utakuwa unaishi mtaroniJidanganye na hizo avatar wengine ni madume. Na baadhi ya member wanajitosa pm kuwatongoza wengine wanawaandikia nyuzi kama hivi kumbe ni njemba mwenzie.
Wewe umelizwa liniWatu kibao washalizwa humu
Mbona desperation namba hiiNingekuwa mimi, ukiniliza sikuachi, naweka vitu hadharani na ushahidi juu, ili kukuharibia.