Usingizi nakosa kwa ajili yake

Ni kweli...tatizo watu wanajipa uhuru kupitiliza hawajui kama humu pia wanaweza wakakutana na watu wa maana wakawapa na connections za maana...ila kwa staili kama hii I don't think kama mtu anaweza kutana nazo labda abadilike
Hakuna shida. Ni suala la kawaida tu kila mtu aishi vile anapenda maana sio kila mtu humu yupo kwa ajil ya kutafuta connwctions..so self expression ni liberty ya kila mtu ila haiondoi ukwel wa ujinga kubaki ujinga na utaambiwa tuu.

Maana ukiishi humu ndani kwa kutaka connections huwez kufurahia matunda ya uhuru wa kujieleza 😂😂😂
 
Sawasawa 👊👊
 
eh hii kali
ahahahaha
nikirudi Tz ntakucheki
nimekupost kwa youtube channel yangu
thank you for the love
Yes God made me a beautiful woman, verily verily ila mimi sio mweupe though!
kissess!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…