Usingizi nakosa kwa ajili yake

Usingizi nakosa kwa ajili yake

Ni kweli...tatizo watu wanajipa uhuru kupitiliza hawajui kama humu pia wanaweza wakakutana na watu wa maana wakawapa na connections za maana...ila kwa staili kama hii I don't think kama mtu anaweza kutana nazo labda abadilike
Hakuna shida. Ni suala la kawaida tu kila mtu aishi vile anapenda maana sio kila mtu humu yupo kwa ajil ya kutafuta connwctions..so self expression ni liberty ya kila mtu ila haiondoi ukwel wa ujinga kubaki ujinga na utaambiwa tuu.

Maana ukiishi humu ndani kwa kutaka connections huwez kufurahia matunda ya uhuru wa kujieleza šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚
 
Hakuna shida. Ni suala la kawaida tu kila mtu aishi vile anapenda maana sio kila mtu humu yupo kwa ajil ya kutafuta connwctions..so self expression ni liberty ya kila mtu ila haiondoi ukwel wa ujinga kubaki ujinga na utaambiwa tuu.

Maana ukiishi humu ndani kwa kutaka connections huwez kufurahia matunda ya uhuru wa kujieleza šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚
Sawasawa šŸ‘ŠšŸ‘Š
 
wakuu Salamāœ‹

nimetokea sana kumpenda money penny.nimekuwa nikifatilia nyuzi zake sana

nimemjengea picha kichwani nimdada mmoja wamoto sana na mremboo hasa kuliko mwanamke yeyote duniani.

natamani sikumoja niwe nae kiwanja tule bataa Hadi afurahi mwenyewe.

I love you so much money penny ā¤ļøā¤ļøā¤ļøā¤ļøā¤ļøā¤ļøā¤ļøā¤ļøā¤ļøā¤ļø
eh hii kali
ahahahaha
nikirudi Tz ntakucheki
nimekupost kwa youtube channel yangu
thank you for the love
Yes God made me a beautiful woman, verily verily ila mimi sio mweupe though!
kissess!
 
eh hii kali
ahahahaha
nikirudi Tz ntakucheki
nimekupost kwa youtube channel yangu
thank you for the love
Yes God made me a beautiful woman, verily verily ila mimi sio mweupe though!
kissess!
ndio mana nakupenda my love huna roho mbaya.ā¤ļøā¤ļøā¤ļøšŸ˜˜
 
Back
Top Bottom