Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Jitahidi ule walau milo mi3 kwa siku, na kwa wakati unywe maji mengi pia.. I hope kila kitu kitakua sawa ni suala la muda tu, pole sanašbado
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jitahidi ule walau milo mi3 kwa siku, na kwa wakati unywe maji mengi pia.. I hope kila kitu kitakua sawa ni suala la muda tu, pole sanašbado
Kumbe tatizo ni hela š¤š¤š¤...ningekua nayo ya ziada ningekupa..pole sananitumie basi japo buki hapo
Subiri wenye nazo za ziada watakupa..mimi sinanitumie basi japo buki hapo
Yeah,, kila la kheri...dahā¹ļøbasi ngoja niendelee kupambana
Hakuna shida. Ni suala la kawaida tu kila mtu aishi vile anapenda maana sio kila mtu humu yupo kwa ajil ya kutafuta connwctions..so self expression ni liberty ya kila mtu ila haiondoi ukwel wa ujinga kubaki ujinga na utaambiwa tuu.Ni kweli...tatizo watu wanajipa uhuru kupitiliza hawajui kama humu pia wanaweza wakakutana na watu wa maana wakawapa na connections za maana...ila kwa staili kama hii I don't think kama mtu anaweza kutana nazo labda abadilike
Sawasawa ššHakuna shida. Ni suala la kawaida tu kila mtu aishi vile anapenda maana sio kila mtu humu yupo kwa ajil ya kutafuta connwctions..so self expression ni liberty ya kila mtu ila haiondoi ukwel wa ujinga kubaki ujinga na utaambiwa tuu.
Maana ukiishi humu ndani kwa kutaka connections huwez kufurahia matunda ya uhuru wa kujieleza ššš
GRow up bwana mzee!. Haya mawazo ya kipumbavu pumbavu punguza.unaijengea picha jina la ID ambapo huna hata uhakika ni Me au Ke mwisho wa siku upigwe mashine uvuliwe ubingwa kwa kushindwa ku balance shobo za kijingaKumbe unaakili kidogo?haya kalale
eh hii kaliwakuu Salamā
nimetokea sana kumpenda money penny.nimekuwa nikifatilia nyuzi zake sana
nimemjengea picha kichwani nimdada mmoja wamoto sana na mremboo hasa kuliko mwanamke yeyote duniani.
natamani sikumoja niwe nae kiwanja tule bataa Hadi afurahi mwenyewe.
I love you so much money penny ā¤ļøā¤ļøā¤ļøā¤ļøā¤ļøā¤ļøā¤ļøā¤ļøā¤ļøā¤ļø
thank you
acha wivuTafuta shughul ya kufanya uji keep busy usiwe na mawazo ya kifala fala namna hii
au nimwajiri mimi kwa foundation yangu? sa sijui ata deliver au?Mpeni ajira kijana,, anachanganyikiwa mapema sana maskiniš¤¦āāļøš¤¦āāļø
wewe mwenye akili unafananaje?Unaweza kudhani tatizo ni kukosa usingizi kumbe tatizo ni kukosa akili
ndio mana nakupenda my love huna roho mbaya.ā¤ļøā¤ļøā¤ļøšeh hii kali
ahahahaha
nikirudi Tz ntakucheki
nimekupost kwa youtube channel yangu
thank you for the love
Yes God made me a beautiful woman, verily verily ila mimi sio mweupe though!
kissess!
jamaaan, muacheni mtoto apende mamazakeUna umri gani? Kama ni 20's huyo ni mama yako.
Kua na adabu.
kazi Mimi ninayo SEMA Hawa memba wanarohombaya tuu my loveau nimwajiri mimi kwa foundation yangu? sa sijui ata deliver au?
nikifa siozindio mana nakupenda my love huna roho mbaya.ā¤ļøā¤ļøā¤ļøš
basi nitakubeba mgongoni, nakutafutia uzi nikuwekee!kazi Mimi ninayo SEMA Hawa memba wanarohombaya tuu my love