Usingizi ndani ya gari au basi

Mtakayote

Member
Joined
Apr 1, 2016
Posts
62
Reaction score
16
Habari wanajf

Nina tatizo la kulala kwenye gari hata kama ni mwendo wa kilomita mbili. Sasa sijajua ni tatizo la kiafya au la. Na kulala huwa nalala masaa nane kwa siku.

Naomba mnisaidie
 
Habari wanajf

Nina tatizo la kulala kwenye gari hata kama ni mwendo wa kilomita mbili. Sasa sijajua ni tatizo la kiafya au la. Na kulala huwa nalala masaa nane kwa siku.

Naomba mnisaidie
Ni kipaji ambacho wengine hawana! Yani akili yako iko vizuri haiendekezi stress ila kama ni self driving hilo ni tatizo
 
Hilo ni tatizo bro...nakushauri kama hufanyi mazoezi anza kufanya mazoezi ambayo yata boost rate ya upumuaji wako...then control vyakula unavyokula hasa mafuta na sukari...kunywa maji ya kutosha at least 3litres kila siku Fanya hivyo kwa miezi miwili utaona tofauti kubwa mzee
 
Tatizo hata ID yako nayo ni tatizo. "Mtakayote" hivyo unataka kila kitu, usiku unalala ila ukipanda basi napo unataka ulale. Nakushauri uchague ID nyingine kisha ulete ushuhuda
 
Mwili umejitengenezea mazoea. Kama hupendi kataa kulala hutalala
 
Kama umetokea Dodoma kuna mnyama anaitwa fungo Kama unamjua VIP uliwahi kula nyama yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…