Usingizi umekata nasubiri uteuzi na utenguzi; Je, mimi ni waziri gani?

Usingizi umekata nasubiri uteuzi na utenguzi; Je, mimi ni waziri gani?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Nipo zangu nimegoma kulala nasubiri uteuzi na utenguzi. Mimi nawakiliisha Mawazri wengi waliokata tamaa na waliopoteza focus kwa sababu awajui mteuaji anaambiwa nini na nani.

Nitaendelea kulala mchana na kukesha usiku hadi mkeka wa mawaziri utoke. Endapo utatoka na jina langu likawepo si watasema mimi ndio nimetoa fedha za matusi?

Bora nisitumbuliwe sasa nikagombanishwa na wapiga kura. Ila sasa kwanini nistafute kazi ya kujitegemea nikaacha kuishi kwa mateso hivi? Lakini kazi gani nitafanya na mimi nimesomea kupanda V8? Watoto wangu wataweza kuishi bila kuitwa watoto wa Mheshimiwa?

Ndugu zangu wakisema wanakuja kwa waziri wa zamani haitaniuma? Kweli V8 chungu, mtu anayo yake ila anataka na za wengine apewe yeye.

Hii kazi ya uwaziri itaua watu kwa presha, bora tubadili katiba mawaziri wasitokane na bunge. Maana ukisikia kila mtu anataka kuwa RAIS ndio sasa...............

Mawaziri wanawaza kama nilivyoandika tuwahurumie
 
waziri kuna mganga namjua anaweza kukusaidia...😅
 
We ni febuari bhana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wale vijana wakimtukana Magufuli kupitia KIGOGO wamerudi tena? Hawaridhiki na vyeo walivyo pewa? Mfadhiri wao mkubwa ni Vasco Dagama?
 
Wale vijana wakimtukana Magufuli kupitia KIGOGO wamerudi tena? Hawaridhiki na vyeo walivyo pewa? Mfadhiri wao mkubwa ni Vasco Dagama?
Sisi tulimshauri mama kuachana na hao vijana toka mwanzo, lakini hakutilia maanani ushauri wetu, matokeo yake ndiyo haya sasa; kikulacho kiko nguoni mwako! Angetusikia akawapiga chini kama Mwendazake alivyofanya, sasa hivi wangekuwa wameshanyooka kama rula.
 
Sema kwenye Siasa kuna majungu mno. Ukiwa kiongozi unatakiwa kuwa makini kupita kiasi.
 
Sisi tulimshauri mama kuachana na hao vijana toka mwanzo, lakini hakutilia maanani ushauri wetu, matokeo yake ndiyo haya sasa; kikulacho kiko nguoni mwako! Angetusikia akawapiga chini kama Mwendazake alivyofanya, sasa hivi wangekuwa wameshanyooka kama rula.
Samia anashindwa kutawala kwakuwa hana vision, hizo R zake ni upepo tu hazina sense of dimension!
Unfortunately, kuziba hilo pengo anamtegemea mtu ambaye akili yake yote iko kwenye kuifilisi nchi hivyo ushauri wake ni wa kumdidimiza Samia ambae hana NANGA!! Kumtegemea fisadi Vasco Dagama is suicidal to mama kizimkazi!
 
Back
Top Bottom