tete'a'tete
JF-Expert Member
- Feb 10, 2010
- 472
- 64
Amen! Karibu na wewe kufuatilia maombi ya TB Joshua....you will get something in your life...Ushauri mzuri kama ilivyo avatar yako...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen! Karibu na wewe kufuatilia maombi ya TB Joshua....you will get something in your life...Ushauri mzuri kama ilivyo avatar yako...
:A S 8: ongezea hapo mbele .....mrefu
Mbado nipo nipo kwanza...
Ningekuwa tayari si ningetangaza hapa
Wakati naoa nataka niwe na watoto 6 wa nje bado hawajatimia idadi
Amen! Karibu na wewe kufuatilia maombi ya TB Joshua....you will get something in your life...
Hapa kuna nini tena....
Kunahitajika katibu hapa??
Hapana, tuko barazani tuna brainstorm. Angalia faili litajaa kabla katiba haijasainiwa!
Orait...
ROFL! kibali cha kutotumia mipira ulikipatia wapi? Hicho kwa mujibu wa kanuni lazima kisainiwe na viongozi waandamizi:becky::becky:
Bwana akutie nguvu na akusimamie.Dah hadi vidole vya mguuni vimesisimuka
Hatujawahi kusaini kibali cha aina hiyo...:confused2:
najua utakuwa unaona kama nakubore au nakusumbua sana but naomba tu unielewe kwamba ni roho wa bwana amenena ndani yangu kwamba nikushawishi uachane na habari za kaunta(valuu), uachane na habari za nyumba ndogo make naona umepewa na cheo cha "Mshauri mkuu wa hicho chama" Fidel80 naomba uwe flexible na ukubaliane na mabadiliko haya ikibidi hata hiyo location yako ubadilishe, yaani utoke huko UVUNGUNI uhamie KITANDANI labda au SITTING ROOM.😛ray:
ni rafikiyo kipendhi Chloe!!!!
(sorry kwa niliyemkwaza kwa hii post)
hao watatu hapo juu itabidi nifunge tena kwa maombi ili roho wa bwana aniongoze.mtoe huko aliko umpeleke mwangani,mtoe kaunta mpeleke madhabahuni,kisha uendelee na Asipirin na homie wake kaizer maliza na teamo
na mchungaji Masa kisha funga kazi na wale wadhambi wenzao hapo utakua umesambaratisha chama chao for good!
ila kuwabadili hawa inabidi kwenda kusalia JANGWANI maana mioyo yao ishakua sugu kwa zile dhambi 2 wazipendazo.
Basi nitakuwa mlokole wa kisasa
Thats name calling..... first warning!mtoe huko aliko umpeleke mwangani,mtoe kaunta mpeleke madhaahuni,kisha uendelee na sipirin na homie wake kaizer maliza na teamo
na mchungaji Masa kisha funga kazi na wale wadhambi wenzao hapo utakua umesambaratisha chama chao for good!
ila kuwabadili hawa inabidi kwenda kusalia JANGWANI maana mioyo yao ishakua sugu kwa zile dhambi 2 wazipendazo.
Ukijiunga na ISC huna haja ya kufunga na kuomba. Ushauri wako utazingatiwa.....Nikuletee fomu?hao watatu hapo juu itabidi nifunge tena kwa maombi ili roho wa bwana aniongoze.
hapo kwa mchungaji Duh!!!:confused2:
Nikuletee fomu?[/[/COLOR]QUOTE]
:confused2:
jibu :nono::nono::nono:
Basi nitakuwa mlokole wa kisasa
Kanuni zinatamkaje kuhusu adhabu yake....
najua utakuwa unaona kama nakubore au nakusumbua sana but naomba tu unielewe kwamba ni roho wa bwana amenena ndani yangu kwamba nikushawishi uachane na habari za kaunta(valuu), uachane na habari za nyumba ndogo make naona umepewa na cheo cha "Mshauri mkuu wa hicho chama" Fidel80 naomba uwe flexible na ukubaliane na mabadiliko haya ikibidi hata hiyo location yako ubadilishe, yaani utoke huko UVUNGUNI uhamie KITANDANI labda au SITTING ROOM.😛ray:
ni rafikiyo kipendhi Chloe!!!!
(sorry kwa niliyemkwaza kwa hii post)