Usinichoke Fidel80

Huo ulokole wa kisasa ndo ukoje? tufafanulie kaka.

Huo ni Kanisani kama kawa Ibada zote unapiga kama kawa na kunena juu hata kukemea nikila chakula cha bwana nawahi kushushia na Valuu au Konyagi nitafakari kwa umakini zaidi neno la Mungu.
 
dah........:confused2:

Fidel80 useme tena huna bahati hebu 'panda kitandani'...mwenzio bado "Ninapanda"

Mpwa umeona sasa vigezo hivyo mweh yaani kuacha Valuu na Bier kazi kweli kweli.
Mi nimesha anza kupunguza vitu
 
Mpwa umeona sasa vigezo hivyo mweh yaani kuacha Valuu na Bier kazi kweli kweli.
Mi nimesha anza kupunguza vitu

Hivyo mnaongea mkishakubaliana kimsingi bana sidhani kama ni tatizo ki kivvo ila kuna wimbi la Iteitei lya Kite sijui limetokea wapi kama unahitaji manowari kubwa zaidi useme mpwa😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…