mshauri naona umeshikwa pabaya, poleeee!
pabaya ni wapi Lady N???? mbona me sijashikwa popote?????:couch2:!!!
Fidel80 usibadili mwelekeo mpaka tugonganeeeeeeeeeeeeee!!
We meet kwanza then ndo ubadiliiiiiiii
LOL
Hivi inawezekana ukawa mwanachama wa chichiemu lakini ukapigia kura chadema?nauliza tu...
Huo ulokole wa kisasa ndo ukoje? tufafanulie kaka.
dah........:confused2:
Fidel80 useme tena huna bahati hebu 'panda kitandani'...mwenzio bado "Ninapanda"
Mpwa umeona sasa vigezo hivyo mweh yaani kuacha Valuu na Bier kazi kweli kweli.
Mi nimesha anza kupunguza vitu