LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,491
- 12,560
Mabinti wa wa tz bwana ikifika hiki kipindi wote wanavaa majuba wanajifungia ndani wanakwambia tumefunga tutakutana eid au pasaka sasa nikajiuliza mienzi mingine ndio ya kuzini ila huu ndio marufuku?
Basi bwnaa mchepuko umefunga ila hela ya huduma kila siku unataka utumiwe nikamwambia huu mwezi pia ni dhambi kula hela ya hawara subiri uishe nitaendelea kukuhudumiwa [emoji23] nimeblockiwa sasa kosa langu lipi
Basi bwnaa mchepuko umefunga ila hela ya huduma kila siku unataka utumiwe nikamwambia huu mwezi pia ni dhambi kula hela ya hawara subiri uishe nitaendelea kukuhudumiwa [emoji23] nimeblockiwa sasa kosa langu lipi