Usiniombe pesa hadi mfungo uishe both team score

Usiniombe pesa hadi mfungo uishe both team score

Mabinti wa wa tz bwana ikifika hiki kipindi wote wanavaa majuba wanajifungia ndani wanakwambia tumefunga tutakutana eid au pasaka sasa nikajiuliza mienzi mingine ndio ya kuzini ila huu ndio marufuku?

Basi bwnaa mchepuko umefunga ila hela ya huduma kila siku unataka utumiwe nikamwambia huu mwezi pia ni dhambi kula hela ya hawara subiri uishe nitaendelea kukuhudumiwa [emoji23] nimeblockiwa sasa kosa langu lipi
Hahaha hii kweli ni both team to score
 
Back
Top Bottom