Kosa lako kusema huwezi kutoa hela kisa utelezi umenyimwa
Mapenzi ni utapeli
AlikofungiaSasa mwenzio akale wapi mbona mkatili wewe
Na hawa wa kwaresma hawaweki hivi vikwazo?Kosa lako ni kusema ukweli, sasa mbususu hadi mfungo uishe ila pesa haramu ya hawara sio shida, hizi imani kuna wakati zina walakini sana.
Matokeo,Wote wana kosa Kwa kulaSasa mwenzio akale wapi mbona mkatili wewe