Ack
Member
- Dec 21, 2016
- 88
- 87
Nimeamini kwa nini ukiitiwa mwizi unauawa sekunde moja,
Nimeibiwa Computer aina ya Toshiba dynamic setelite L20, simu Samsung galaxy grand prime na pesa ndani yaani nimepandwa na hasira balaa
Lakini kama utajichanganya kununua kimoja wapo imekula kwako, Simu ipo tunaimonitor kwa IMEI na Android apps, ikikutwa kwako hutaamini kitakachotokea
Ukiviona kwa mtu tujulishe kwa:
Cc: 0753 978 248
Zawadi nono itatolewa
Nimeibiwa Computer aina ya Toshiba dynamic setelite L20, simu Samsung galaxy grand prime na pesa ndani yaani nimepandwa na hasira balaa
Lakini kama utajichanganya kununua kimoja wapo imekula kwako, Simu ipo tunaimonitor kwa IMEI na Android apps, ikikutwa kwako hutaamini kitakachotokea
Ukiviona kwa mtu tujulishe kwa:
Cc: 0753 978 248
Zawadi nono itatolewa