ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 6,096
- 16,390
Wapo mamilioni ya watu walio oana kwa huo msingi wa kupendana na bado wakaangukia pua ,na wapo wengine ambao walioa na kuolewa bila ya kuangalia kigezo hicho ulicho kisema na bado ndoa zao zikadumu na zikawa na amani.
Ni kweli hutakiwi kuoa au kuolewa na mtu kwa kumuonea huruma, lakini pia hutakiwi kumuoa au kuolewa na mtu kwa kigezo cha kumpenda tu bali pia awe mtu anaye sitahili na atakaye kufaa kwenye maisha yako na watoto wako utakao wazaa.
Moyo huwa unapenda popote pale bila kujali ni kuzuri au ni kubaya,na ndio maana huwa unaambiwa kuwa kitu chochote kinacho husiasa na msitakabali wa maisha yako hutakiwi kufanya uamuzi kwa kufuata hisia za moyo wako bali tumia akili.
Moyo una weza kukufanya ukapempenda mtu ambaye hana sifa ya kuwa mme au mke na ambaye hakufai kwenye maisha yako, sasa ww jitie kumuoa eti kisa una mpenda huuone moto wake.
Ni kweli hutakiwi kuoa au kuolewa na mtu kwa kumuonea huruma, lakini pia hutakiwi kumuoa au kuolewa na mtu kwa kigezo cha kumpenda tu bali pia awe mtu anaye sitahili na atakaye kufaa kwenye maisha yako na watoto wako utakao wazaa.
Moyo huwa unapenda popote pale bila kujali ni kuzuri au ni kubaya,na ndio maana huwa unaambiwa kuwa kitu chochote kinacho husiasa na msitakabali wa maisha yako hutakiwi kufanya uamuzi kwa kufuata hisia za moyo wako bali tumia akili.
Moyo una weza kukufanya ukapempenda mtu ambaye hana sifa ya kuwa mme au mke na ambaye hakufai kwenye maisha yako, sasa ww jitie kumuoa eti kisa una mpenda huuone moto wake.