Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣The so called "SUPER WOMEN"ni shida wakuu!!!kucha bandia tena marefu kama reki,kope bandia,nywele bandia hadi maisha bandia yaani,usimbe ukutane nako ka hivyo!
Dah bora.......kumbe sie tunaomiliki vibonge tumeokokaHawana hisia hao mbwa, ila unakuta kuna msela anakapelekesha vibayaaa
Na vinakuwanga vyembamba
the really definition of the feminist....Hakuna mwanaume anataka challenge za kipuuz kutoka kwa mwanamke.Nesi mkunga
Mtoa mada ata maana ya Feminist huijui[emoji1787]
Binafsi nafaham kua Mwanaume ameumbwa kuwa mfalme mbele ya mwanamke na huu ni uumbaji huwezi kuubadirisha na kila Mwanaume yuko hivyo mbele ya mwanamke na ukishindwa kumuentartain lazima alale mbele..ndio maana ya Mwanaume kuwa Kichwa
Sasa wewe unaonekana hupendi kabisa challenge na mwanamke anayejitegemea ni threat kwako..unapaswa kufaham kua kila Mwanaume ana character zake na vigezo vyake anavyoangalia kwa mwanamke, kuna ambao hao unaowaponda ndio wanaowapenda, wewe kama unapenda submissive wife then tafuta oa sio kuponda wengine
Umejichanganya Dada yangu. Kwa ujumla kila mwanaume anapenda awe na mke mnyenyekevu - submissive wife. Hili ni jambo la asili. Kinyume na hapo hakutakuwa na masikilizano.Nesi mkunga
Mtoa mada ata maana ya Feminist huijui🤣
Binafsi nafaham kua Mwanaume ameumbwa kuwa mfalme mbele ya mwanamke na huu ni uumbaji huwezi kuubadirisha na kila Mwanaume yuko hivyo mbele ya mwanamke na ukishindwa kumuentartain lazima alale mbele..ndio maana ya Mwanaume kuwa Kichwa
Sasa wewe unaonekana hupendi kabisa challenge na mwanamke anayejitegemea ni threat kwako..unapaswa kufaham kua kila Mwanaume ana character zake na vigezo vyake anavyoangalia kwa mwanamke, kuna ambao hao unaowaponda ndio wanaowapenda, wewe kama unapenda submissive wife then tafuta oa sio kuponda wengine
Ni kama hakuna vibonge feminist. Wana mioyo safi sana wanawake vibongeDah bora.......kumbe sie tunaomiliki vibonge tumeokoka
Binafsi napenda wanawake wababe, wale wanaojiona makaksi (Feminist type) ili niwaonyeshe kua bado watabaki kua wanawake tu no matter their attitude
the really definition of the feminist....Hakuna mwanaume anataka challenge za kipuuz kutoka kwa mwanamke.
Refer kwa video inayozungumziwa.