Usioe usioe, Narudia tena mpendwa usioe!

Usioe usioe, Narudia tena mpendwa usioe!

Binti au mwanamke msambaa usioe kimbia vunja miguu kabisa,baadhi ni washirikina baala mimi mwenyewe kidogo nichomolewe betri.
 
Nimemuoa 2008 ndoa ya kiislam,kumbe mwenzangu ana malengo yake anabadilisha waganga na malimbwata nimekula mpaka mama mzazi nikawa simthamini,nimemaliza ujenzi mjengo wa2 kitunda kapanga mishe na mganga wa kienyeji akishirikiana na ndg zake nichomolewe betri kwani mali na watoto wanne wanamtosha.namshukuru sana mungu kuniokoa na janga hili.
Ilikuajee...
 
Nimemuoa 2008 ndoa ya kiislam,kumbe mwenzangu ana malengo yake anabadilisha waganga na malimbwata nimekula mpaka mama mzazi nikawa simthamini,nimemaliza ujenzi mjengo wa2 kitunda kapanga mishe na mganga wa kienyeji akishirikiana na ndg zake nichomolewe betri kwani mali na watoto wanne wanamtosha.namshukuru sana mungu kuniokoa na janga hili.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daah pole sana mkuu.. Kwa hiyo sasa uligunduaje kma anakulogaa
Nimemuoa 2008 ndoa ya kiislam,kumbe mwenzangu ana malengo yake anabadilisha waganga na malimbwata nimekula mpaka mama mzazi nikawa simthamini,nimemaliza ujenzi mjengo wa2 kitunda kapanga mishe na mganga wa kienyeji akishirikiana na ndg zake nichomolewe betri kwani mali na watoto wanne wanamtosha.namshukuru sana mungu kuniokoa na janga hili.
 
Niligundua baada ya ex wife kwenda kwa mtaalam wa tiba za asili ambaye ananifahamu,huyu mtaalamu wa tiba asili roho ya huruma ilimjia baada ya kugundua naelekea kuchomolewa betri kwa mujibu wa maelezo ya ex wife.akawa ana mrekodi kisha ananirushia maongezi aliyokuwa anaongea ex wife.nikaamua kumtimua kabla hajanichomolea betri.
Daah pole sana mkuu.. Kwa hiyo sasa uligunduaje kma anakulogaa
 
Aisee pole sana mkuu
Niligundua baada ya ex wife kwenda kwa mtaalam wa tiba za asili ambaye ananifahamu,huyu mtaalamu wa tiba asili roho ya huruma ilimjia baada ya kugundua naelekea kuchomolewa betri kwa mujibu wa maelezo ya ex wife.akawa ana mrekodi kisha ananirushia maongezi aliyokuwa anaongea ex wife.nikaamua kumtimua kabla hajanichomolea betri.
 
Back
Top Bottom