ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,236
- 2,142
sikuoihuyu ni Gudume? au mnafanana misimamo???vijana wadogo wanaosoma hapa watakua na different attitude kuhusu wanawake...sijui mnapata nini na hii negativity|?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sikuoihuyu ni Gudume? au mnafanana misimamo???vijana wadogo wanaosoma hapa watakua na different attitude kuhusu wanawake...sijui mnapata nini na hii negativity|?
unaoa lakini kwa ajili ya wenginehuyo wa kwenye picha yupo upnde wa oa au usioe!??
MPE 7,800 TUukiona msichana kavaa sweta limeandikwa TANZANIA usioe
Kwanini mkuu?? mbona wapo wengi tu na wameolewa??ukiona demu amesuka wigi usioe ndugu
Ipo bhana ila sitoi kwa sababu ya makubaliano yaliyopoMkuu una namba ya huyo pichani..?
Hahahahahahahah daaahBinti au mwanamke msambaa usioe kimbia vunja miguu kabisa,baadhi ni washirikina baala mimi mwenyewe kidogo nichomolewe betri.
Ilikuajee...Binti au mwanamke msambaa usioe kimbia vunja miguu kabisa,baadhi ni washirikina baala mimi mwenyewe kidogo nichomolewe betri.
Ilikuajee...
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimemuoa 2008 ndoa ya kiislam,kumbe mwenzangu ana malengo yake anabadilisha waganga na malimbwata nimekula mpaka mama mzazi nikawa simthamini,nimemaliza ujenzi mjengo wa2 kitunda kapanga mishe na mganga wa kienyeji akishirikiana na ndg zake nichomolewe betri kwani mali na watoto wanne wanamtosha.namshukuru sana mungu kuniokoa na janga hili.
Mkuu upo katika movement gani? Kila siku Mada zako ni kupinga ndoa tu[emoji53]
Nimemuoa 2008 ndoa ya kiislam,kumbe mwenzangu ana malengo yake anabadilisha waganga na malimbwata nimekula mpaka mama mzazi nikawa simthamini,nimemaliza ujenzi mjengo wa2 kitunda kapanga mishe na mganga wa kienyeji akishirikiana na ndg zake nichomolewe betri kwani mali na watoto wanne wanamtosha.namshukuru sana mungu kuniokoa na janga hili.
Daah pole sana mkuu.. Kwa hiyo sasa uligunduaje kma anakulogaa
Niligundua baada ya ex wife kwenda kwa mtaalam wa tiba za asili ambaye ananifahamu,huyu mtaalamu wa tiba asili roho ya huruma ilimjia baada ya kugundua naelekea kuchomolewa betri kwa mujibu wa maelezo ya ex wife.akawa ana mrekodi kisha ananirushia maongezi aliyokuwa anaongea ex wife.nikaamua kumtimua kabla hajanichomolea betri.