Nakaziaaaaaaaaaaaaaaa ππππππ!Mi nataka tu ushahidi sina mengi, privacy kitu gani bwana? Kwanza ukishatoa mambo yenu ya nje ya JF ukayaleta humu umeshavunja privacy, kama vipi tumalizie kipande cha privacy kilichobaki ππ
Mashine na pesaπ€ π€ π€ !Dada si tulikubaliana mwanaume mashine na pesa? π Labda wana mashine na pesa.
Ngoja nijitafutie zangu mmoja nitaleta uzi na mimi kama yaliyomoβ¦..π
Tusio na mashine wala pesa , sijui tulikuja fanya nini humu duniani maskinπππππMashine na pesaπ€ π€ π€ !
Asante π
Alikua na mambo yake kichwani huyu haikua kazi tuSasa issue ya Kazi ulitaka uonane na Monalisa?
Ila Mbona Kama wanaume wengi siku hizi hawatumii logic kabisa ?
πππTusio na mashine wala pesa , sijui tulikuja fanya nini humu duniani maskinπππππ
Sijamuelewa mleta mada, wengine tulioa waimba kwaya wasioijua hata FB miaka hiyo. Sasa tunaishi kama tuko gaza, yaani ni kazi, hakana plan yoyote ya maisha, unakapa hela kwenda sokoni kanaficha 50%. Ndani ni kelele na jeuri.Umekaelewa nini? Ama ni baada ya kuona kaliandika kapo Arusha? Ukaona hutosumbuka kutuma nauli? Poleeeeπ€π
Hichi ulichokifanya si utafiti labda tukitafutie jina, hivyo hata hitimisho lako si halali.Mtaani kuna kundi ambalo siyo la kuoa , ambalo wengi wao wapo humu. Tuliza akili tafuta mke live mtaani acha kutafuta mke mtandaoni huku kumejaa malaysia
Hahaa kwanza pole,, pili imeshindikana kabisa kumuelekeza lugha uitakayo? ( Love Language yako?Sijamuelewa mleta mada, wengine tulioa waimba kwaya wasioijua hata FB miaka hiyo. Sasa tunaishi kama tuko gaza, yaani ni kazi, hakana plan yoyote ya maisha, unakapa hela kwenda sokoni kanaficha 50%. Ndani ni kelele na jeuri.
Nilitaka mleta uzi ajue kuwa utafiti wake ni batili. Huyu mke ni kama upstair kuna shida, nina kimada mtaani, acha alee watoto.Hahaa kwanza pole,, pili imeshindikana kabisa kumuelekeza lugha uitakayo? ( Love Language yako?
Amegoma?
Miaka 20 ya ndoa hapo unaitumia lugha gani sasaHahaa kwanza pole,, pili imeshindikana kabisa kumuelekeza lugha uitakayo? ( Love Language yako?
Amegoma?
Tunaomba majina yao basi.Chama cha wakataa ndoa wengi wao wameangukia kwa hawa wadada wa humu ndani
Habari ndugu zangu ikiwa ni jumamosi ya mwisho ya mwaka 2023.
Nayasema haya kutokana na utafiti wangu wa kimnya kimnya nilioufanya kutoka kwa hawa dada zetu wa Jf, nipo hapa kupigwa mawe pasi na kujali lolote ila ukweli ufike.
Wengi wao ni wake za watu, mademu za watu na wengine ni single maza, kulia shida kwao ni jambo la kawaida sana , atakuomba buku ila jua hujaombwa mwenyewe.
Na ukiwasikiliza maneno yao na sauti zao nikama malaika apigaye tarumbeta la amani, sauti zao ni za mapenzi ya hali ya juu, wanajali sana na wepesi kumpandisha mwanaume hisia za haraka kama kichwa cha juu hakifanyi kazi vizuri, ukiwa nao faragha hawana mvuto isipo kua sauti zao ni nzuri za kubembeleza kama mbayu wayu wa mwituni mithili ya kukupelekea wewe mwanaume kujiona upo peponi
wana mitego ya kimahaba na ukijichanganya unaweza hadi kuuza mechi hadharani na ukakata kusikiliza mawaiza na kuamua kuoa upesi pasi na kufikiria mara mbili
Vijana msije mkajichanganya mkaingia mtegoni kuoa wanawake wa humu ndani asilimia kubwa ni matapeli na wanavisasi zidi ya wanaume japo wanaonekana kama malaika, ni warahisi mno na wepesi sana kuchakatwa pasi na wao kujali lolote , wao kukuvulia nguo ni wewe tuu ujipimie.
Wanawake wa humu ndani Jf wameweka hela mbele kama posho ya huduma atakayo kupa na wengi wao wanajiona ni wagumu sana ila kwa upande mwingine ni warahisi na wepesi mno kuchakatwa kama wewe ni mjanja mjanja na una vihela vya chenchi za karanga, hawa hawafai kuolewa ,kijana usije ukaingia mkenge utakuja kulia sana.
Wanawake wa Jf siyo wife material kabisa , wanamaomivu moyoni na asilimia kubwa ni mafeminist, single maza, wake za watu waliojawa na tamaa mbaya, mademu za watu viruka njia, wanawake wa dangaji na wengi wao hawana mvuto, hawajielewi, na wengine ni wauzaji wa moja kwa moja jumla na rejareja
Kijana unaye tafuta mke au mwanamke wa kuzaa nae, hawa wanawake wa Jf wakiimbie ma uwaogope kabisa huu ni mzigo mzito na wa moto sana. Kijana tafuta mwanamke wa kuoa /kuzaa nae /kuishi nae huko mtaani.
Kutafuta mke Jf hakuna tofauti na kwenda kutafuta mke Tinder.
Huu uzi usifutwe, huu ni ukweli mchungu sana, saidieni vijana kwa kusema ukweli ili taasisi ya ndoa iimarike
Malizieni safari, acha kuchepuka πMiaka 20 ya ndoa hapo unaitumia lugha gani sasa
Tena?Wanawake wa JF sound zao wanaonekana ni wale independent women( yaani wanajimudu kiuchumi na hawana shobo kwa hela za mwanaume) na wasomi fulani hivi waliokua brainwashed na movements za ferminism. Sijui ndio characters zao kweli au wanajificha tu nyuma ya keyboard. I wish ningewajua wawili watatu.
Kama uzi unavyojieleza hapo.Kumaanisha nini ππ€π
Wakati ye anafanya utafiti wenzie walikuwa wanaandaa pdf lake ,πKauka basi mkuu π
π€£π€£π€£Mnawaumiza vichwa waoaji nyieHahaa ingieni sahivi, baadae msisumbue wakwe. Wandewa tumeshindikana, duniani hatupo, ahera tunatafutwa
Halafu wakambatiza na kumpa jina jipya la mjuba wa kupigwa mizinga πWakati ye anafanya utafiti wenzie walikuwa wanaandaa pdf lake ,π