Usioe wanawake wa JF hawa ni warahisi na wepesi mno kuchakatwa

Usioe wanawake wa JF hawa ni warahisi na wepesi mno kuchakatwa

Mkuu mbona simple jitoe muhanga au kama Id yako ni ya hovyo anzisha Id nyingine jifanye mzee wa busara na unajalijali. Simple sana
dah kama ni hvyo basi si rahisi. yan new id. uanze maisha ya kuigizaaa. basi kama ndivyo ni wagumu ndo maana mm sijawahi bahatika kwa namna hiyooo ngoma ngumu na uzi ni batili
 
Ukweli ni kwamba humu jf watu wanakulana sana sana.
Mleta uzi atabezwa lakini ana hoja, naishia hapa
kulana ni muhimu kama zimewapanda na ni kwa makubaliano.
mwanamke anataka
mwanaume anataka
so
hii ni win to win
usimseme mtu kisa umemla au amekukula
maana wote mmevunja amri ya sita na wote mlikuwa na dhamira ya kutoana ugumu

wanawake wa jf ndo wanawake tuko nao mtaani.
 
Pamoja na yote bado sijatomba hata mwanamke mmoja wa humu na sijashoboka hata na mmoja.

Ila kwa miandiko yao sioni kama wanavile vitu napenda kwa bed naona kama wengi ni zile dizaini za wanawake wasio na mashepu yaani kama wale walio soma masomo ya sayansi.

Labda mni proves wrong ila humu naona tumejazana wanaume tu
 
Pamoja na yote bado sijatomba hata mwanamke mmoja wa humu na sijashoboka hata na mmoja.

Ila kwa miandiko yao sioni kama wanavile vitu napenda kwa bed naona kama wengi ni zile dizaini za wanawake wasio na mashepu yaani kama wale walio soma masomo ya sayansi.

Labda mni proves wrong ila humu naona tumejazana wanaume tu
Haha wapo wenye vitu adhimu usichukulie poa...nyumba ni choo😂😂
 
Back
Top Bottom