Usioe wanawake wa JF hawa ni warahisi na wepesi mno kuchakatwa

"Usiitafute Mwanamke JF, tafuta mtaani", Sorry, hawa 'wanawake wa JF' ni alliens? 🤔
 
Sawa Mr Mpuuzi.
Naona kujuhudi zoote unataka nianze mwaka kwa kutukana, hili nimelishinda, utakutana wana wa ulimwengu siku moja watakunyoosha na utaikumbuka post hii.

Kila lakheri katika maisha yako ya uchokozi
 
Umekaelewa nini? Ama ni baada ya kuona kaliandika kapo Arusha? Ukaona hutosumbuka kutuma nauli? Poleeee🤭😂
Muulize ashapigia nyeto id yako mara ngapi? Maana humu watu wanazoom profile picture
 
We nae una upungufu wa madini chuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…