Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
- Thread starter
- #81
Tulia hauna ulijualo mkuuAnahaha tatizo ni shoboloza alafu anaeza kuwa alipigwa na dume.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia hauna ulijualo mkuuAnahaha tatizo ni shoboloza alafu anaeza kuwa alipigwa na dume.
Niliyemjibu ni wa kiume,, usirukie kwoti kama hujaelewa inavyoenda enda.Mtaani utakataliwa kwa sababu unaonekana live. Jf mlikua mnajifichia huku
Ukita kumjua kama ni wakike kweli , fanya upate namba yake na ukubali kurisk kuonana nae haijalishi yupo mkoa gani. Usicheze Pm cheza live ukisha pata namba..Mwanaume mwenye ID ya kike [emoji23]
Humu wapo wengi sana na ndio hao wanaharibu image ya wanawake wa jf
Yethuu na Marie kuna vichaa humu 😂😂Who knows unaweza kuta ni dume shababi 🤣🤣🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23] labda watu wa jf tutengwe tukaishi sehemu yetu peke yetu, tusichanganywe na wengineWaliona wapi? Usiwe unawaambia
Missy Gf nakujua kwa I'd nyingine nayotumia hebu tulia kwanzaHalafu kweli I'd nyingi humu ni wanaume wanaojifanya wanawake wanadangia wanaume wenzao huko pm [emoji1787]
Ndyo akome kutongoza tongoza hovyo
Hayo mambo ndio yanafanya JF ladies muonekane wa ajab,Halafu kweli I'd nyingi humu ni wanaume wanaojifanya wanawake wanadangia wanaume wenzao huko pm 🤣
Ndyo akome kutongoza tongoza hovyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lazima kiliwe hata kama kipo wapi, si lazima jf pekewTulipo humu ndo sie wa mtaani.. Ukweli mchungu. Kuliwa ni lazima.
ULIPO TUPOOOO
Hahaaa umeanza kupata moto au 😂Missy Gf nakujua kwa I'd nyingine nayotumia hebu tulia kwanza
picha iko wapi Hamisi ?Lakini Hawa Kunguni waliomwagwa Hapa wanaonekana ni wa Chanika hawa.
Sipendi kukiharibia dili kile kibibi, kilinipa orodha ya wanaume wajinga jf ambao huwa kinawapiga mizinga, huwa kinaomba buku halafu kinatumiwa buku 20 🤣.Tupe basi kidogo 🤣🤣🤣🤣
picha iko wapi Hamisi ?
Kwa hiyo umelala na wadada wengi wa jf kama sehemu ya research yako?PM ni kuchukua namba na kukutana nae live, nilio kutana nao ni wakike na nimefagia wengi ana kwa ana katika kukamilisha utafiti wangu.
Nipo hapa kuwaambia vijana Jf hakuna mke huku wapo wauzaji
Mtaambiwa mnachuki na wenzenu🤣Who knows unaweza kuta ni dume shababi 🤣🤣🤣🤣
Yaani kama wewe unakula nje ujue na yeye analiwa nje.. Hiyo ndo formula.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lazima kiliwe hata kama kipo wapi, si lazima jf pekew
Hapana ni ukweli unaofichwa na wengiHuu Ni upotoshaji