Usioe wanawake wa JF hawa ni warahisi na wepesi mno kuchakatwa

Usioe wanawake wa JF hawa ni warahisi na wepesi mno kuchakatwa

Mwanaume mwenye ID ya kike [emoji23]
Humu wapo wengi sana na ndio hao wanaharibu image ya wanawake wa jf
Ukita kumjua kama ni wakike kweli , fanya upate namba yake na ukubali kurisk kuonana nae haijalishi yupo mkoa gani. Usicheze Pm cheza live ukisha pata namba..

Hizo ndizo mbinu nilizo kua na tumia
 
Hata huku mtaani kuna kundi sio la kuingia kwa ndoa, mambo ya kawaida hayo. Ni kweli sio kila mwanaume anafaa kuwa mume, likewise kwa wanawake.

Ngoja siku tutakuja na shuhuda zetu tulivyopata wake wema sana kupitia jf.
 
Halafu kweli I'd nyingi humu ni wanaume wanaojifanya wanawake wanadangia wanaume wenzao huko pm 🤣
Ndyo akome kutongoza tongoza hovyo
Hayo mambo ndio yanafanya JF ladies muonekane wa ajab,

Ila nje ya yote maisha ya uhusiano ni kama vita tu iwe mtaani/mtandaoni,huwezi kuufahamu upuuzi wa mtu mapema,tusiwakatishe tamaa wala kuwatia hofu wanaopata wapenzi mitandaoni kushindwa kufikia malengo,

Wapambane.
 
picha iko wapi Hamisi ?
FB_IMG_17037239400386202.jpg
 
Back
Top Bottom