Usioe wanawake wa JF hawa ni warahisi na wepesi mno kuchakatwa

Usioe wanawake wa JF hawa ni warahisi na wepesi mno kuchakatwa

Ukita kumjua kama ni wakike kweli , fanya upate namba yake na ukubali kurisk kuonana nae haijalishi yupo mkoa gani. Usicheze Pm cheza live ukisha pata namba..

Hizo ndizo mbinu nilizo kua na tumia
Yani wewe kumbe bado sana, namba utapewa na kuonana mtaonana vizuri, sio ngumu mtu kusetiwa kukamilisha hayo yote.

Kikubwa usiwe na pupa kisa utelezi, mimi nazoeana nao sana ila nna mipaka yangu na naiheshimu.
 
Unaweza kupata mwanamke mwema tu mtandaoni hata wema wanaitumia hii mitandao japo kweli ni kubahatisha unaweza ukawa na bahati nzuri sana au ukawa na bahati mbaya sana
Wanadamu bwana! wanataka wema kwa wema gani wao walionao.
Kwa haya ninayoyasoma humu yanayofanywa na hawa wanaotafuta wema mnh mnh!
Watu wanaogelea kwenye kila aina ya mabwawa, halafu wanatafuta watakatifu,how?
 
Back
Top Bottom