🤣🤣🤣🤣 watu wanamfungia mwaka.. Famchezo nini😂😂😂,, ila angeweka na ushahidi ingekua kweli ametoa funzo kwa vijana kama alivyosemaMleta thread kakutana na POWER MABULA wakati PM alikuwa anawasiliana na Halle Bailey🤣
Yani wewe kumbe bado sana, namba utapewa na kuonana mtaonana vizuri, sio ngumu mtu kusetiwa kukamilisha hayo yote.Ukita kumjua kama ni wakike kweli , fanya upate namba yake na ukubali kurisk kuonana nae haijalishi yupo mkoa gani. Usicheze Pm cheza live ukisha pata namba..
Hizo ndizo mbinu nilizo kua na tumia
"till nothing comes out any more", na alaf umeinyaka picha ya ms eyes kule selfikaBora nimekuona mwanang, kuna video niliiona nikakukumbuka wewe na mwenzako mshamba_hachekwi
View: https://www.instagram.com/reel/C1FDL-rskQH/?igsh=MTc4MmM1YmI2Ng==
"I think I've finished all my nut" killed me😅"till nothing comes out any more", na alaf umeinyaka picha ya ms eyes kule selfika
unasubiria masaa matatu yapite
Humu JF hakuna wanawake, ni madume matupu.😂😂 dj waleteeee wandewa
Haha mkuu huko shule sikuwa na la maana!!Inaonekana shule ulikua una akili sana, unakumbuka masomo yote😄
Hongera
Loading failed kuna member anaomba ushahidi tafadhali .🤣🤣🤣🤣 watu wanamfungia mwaka.. Famchezo nini😂😂😂,, ila angeweka na ushahidi ingekua kweli ametoa funzo kwa vijana kama alivyosema
Hongera, hizo likes kuanzia uzi hadi post ya mwisho zinahitaji juhudi🤣🤣Yaani siachi hata nukta😃😃
Wanadamu bwana! wanataka wema kwa wema gani wao walionao.Unaweza kupata mwanamke mwema tu mtandaoni hata wema wanaitumia hii mitandao japo kweli ni kubahatisha unaweza ukawa na bahati nzuri sana au ukawa na bahati mbaya sana
😂✅ Feruzi kmmk.hahaha unachati na hale berri jF, kukutana ni pawa mabula, siyataki hayo
kama unagonga red meat ya kutosha, masaa matatu, nutsack inajaa tena"I think I've finished all my nut" killed me😅
wewe au?😂
😂✅ Feruzi kmmk.
Kwamba unathibitisha asemayo ni kweli mkuu?Ugua pole mwaya
Ukishakua mmbea kusoma sio kazi😃😃Hongera, hizo likes kuanzia uzi hadi post ya mwisho zinahitaji juhudi🤣🤣
Nakazia 😃Loading failed kuna member anaomba ushahidi tafadhali .
Nayajua mengi mkuu watu ni wale wale wanaopiga watu humu.Tulia hauna ulijualo mkuu
So wewe ni mbea? HahaUkishakua mmbea kusoma sio kazi😃😃
Anachomaanisha wanawake wasiojishughulisha na mambo ya mtandaoni hasa jamiiforums.Hajui kwamba sisi ndyo wale wale wa kitaa [emoji1787][emoji1787]