Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Usiogope kufanya makosa kwani kwenye kufanya makosa hakika kunaleta manufaa pia
Sikia hii,,maziwa yakiharibika yanakuwa mtindi,na mtindi unabei kubwa kuliko maziwa,,
Juisi ya dhabibu ikiharibika inakuwa wine,na wine ina gharama kubwa kuliko juisi ya dhabibu
Alexander kolumbasi alifanya makosa akiwa anasafiri baharini akajikuta yupo america,na ndio ukawa mwanzo wa kugundua eneo hilo.
Alexander flaming's alifanya makosa laboratory na kujikuta anagundua dawa ya penicilin
Kwahiyo hata wewe ukifanya makosa hauwi mbaya bali unaweza leta kitu kipya bila kutarajia kabisa
Gracias
Ni hayo tu!
Sikia hii,,maziwa yakiharibika yanakuwa mtindi,na mtindi unabei kubwa kuliko maziwa,,
Juisi ya dhabibu ikiharibika inakuwa wine,na wine ina gharama kubwa kuliko juisi ya dhabibu
Alexander kolumbasi alifanya makosa akiwa anasafiri baharini akajikuta yupo america,na ndio ukawa mwanzo wa kugundua eneo hilo.
Alexander flaming's alifanya makosa laboratory na kujikuta anagundua dawa ya penicilin
Kwahiyo hata wewe ukifanya makosa hauwi mbaya bali unaweza leta kitu kipya bila kutarajia kabisa
Gracias
Ni hayo tu!