Usiombe yakukute yaliyonikuta

[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Natamani yangekukuta halafu baby hataki mazo ndio story ingenoga.
 
Ishanitokea sana. Miaka hiyo na hata sasa japo nimeolewa. Unaweza ukamuahidi Mungu ukiona siku zako hauzini tena.
Hapo ukute watoto bado wadogo halafu unahisi mdogo wao yupo njiani. Au upo kwenu na uliyempa bado ni mwanafunzi. UTAKESHA
yeuuuwi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] lol umejua kunichekesha jmn!
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jaman nimecheka hata Mimi iliwahi tokea miez 4 kila mwez nikawa naenda hospital kipindi hicho Niko ndent yaan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nambariki Mungu kwa kuwa mwanaume[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa mpaka nilewe pombee jaman likinipapasa nasikia hasira kwahiyo anajua nikienda kwake pombe za kutosha bila hivyoo khaaa hata aninyonye chini siloii maana silipendi
kwa nn ulikua unampa na humpendi??
 
[emoji3][emoji3]
 
Kama usingekuwa huu uzi leo mwanangu wa kiume Geofrey ningem badilishia kufuli la chumba chake

Eti katia mimba tena na huyu ni mtoto wa nne kwangu kila mmoja ana mama yake

Nilindaa mahali mwisho wa siku niliwait wakina madomola tukailewea kwenye kindi kisa huu upuz

Hakuna aibu unawaalika wazee unawambia wiki ijayo tukatoe mahali

Halafu katikati ya maandalizi mabinti wawili wanakuja wanadai mimba ni ya kijana wako

Inauma mnoo.
Kama kuna mzazi nadhani ananielewa namanisha nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…