Usiombe yakukute yaliyonikuta


Ni hili hili li mganga??
 
Ishanitokea sana. Miaka hiyo na hata sasa japo nimeolewa. Unaweza ukamuahidi Mungu ukiona siku zako hauzini tena.
Hapo ukute watoto bado wadogo halafu unahisi mdogo wao yupo njiani. Au upo kwenu na uliyempa bado ni mwanafunzi. UTAKESHA
%kubwa inatokea sana. Nilikuwa nasimuliwaga tuu na ilivyonikuta ndipo nilielewa somo[emoji12] [emoji12]
 
Jimbo lipo wazi?

Nataka kumsimamisha mgombea wangu
 
[emoji14] [emoji14] na watu wa hivyo huwa Mara moja tuu inanasa. Sijui ungeficha wapi sura yako siku unaenda kumtambulisha kwenu.
 
Wanawake bana.ndio ujifunze kukamiana kavu
 
Asante sana kwa ushauri mzuri
 
Bahati yako boyfriend hakurudisha majeshi. Ndio ungejikuta unaambulia ulichokua unakiogopa.

Mambo ya kinga tunayaongea kwenye keyboard na makongamano tu, lakini kwenye uhalisia hali ni mbaya sana...

Mungu aturehem
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilikuwa mpaka nilewe pombee jaman likinipapasa nasikia hasira kwahiyo anajua nikienda kwake pombe za kutosha bila hivyoo khaaa hata aninyonye chini siloii maana silipendi
Asa ulikuwa unalifatia nini?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mama mkwe na wewe yameshawahi kukuta?

Sitasahau nilienda kupima vipimo vya magonjwa yetu nikasema nikikutwa salama naahidi kuanzia sasa ntakua kasisi, paroko, muinjilist, shemasi, fwaza, muasham, kadinali na nikakamia hatua inayofuata ni kuanza mafunzo ya upapa.

Baada ya majibu, hata sikukumbuka jina la mchungaji wangu..hahahaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…