colin_morgan
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,443
- 2,912
Hahahaaa ulikuwa unaitwa mchungaji Sam. Naomba urudi kwenye mafunzo ya UpapaMama mkwe na wewe yameshawahi kukuta?
Sitasahau nilienda kupima vipimo vya magonjwa yetu nikasema nikikutwa salama naahidi kuanzia sasa ntakua kasisi, paroko, muinjilist, shemasi, fwaza, muasham, kadinali na nikakamia hatua inayofuata ni kuanza mafunzo ya upapa.
Baada ya majibu, hata sikukumbuka jina la mchungaji wangu..hahahaaaa
Sasa mpenzi si ni wangu? Imefika end of contract ndiyo yakatokea hayo mambo.
Inamaanisha ningekuwa naye nisingeshtuka. My fear ni kuzaa mtoto bila baba .[emoji28]
Ngoja ntakutafuta kwa ajili ya kuteta mawil matatuNi wao mkuu. Kila jambo na wakati wake na majira yake.
Wanaotamani wapo katika wakati na majira yao!!
Kwangu wakati bado japo pia siwezi kutoa nikipata.
Pesaa sabuni ya rohoooHahaha ila nyie wadudu mnamatatizo sana.. sasa we Demiss ulikuwa unaenda kwann?! Kwasababu ya pesa zake au?! Mtu humpendi but pesa zake unachukua na papuchi unampa..! Kesho ukipata playboy unarudi hapa kulalamika..! Duuuh kazi kweli kweli..
Daaaaahhhhhh ma bad boy tukutane hapa aisee maana tunavyozodolewa unawez kata tamaa hata ya kuapproach gal[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nilikuwa mpaka nilewe pombee jaman likinipapasa nasikia hasira kwahiyo anajua nikienda kwake pombe za kutosha bila hivyoo khaaa hata aninyonye chini siloii maana silipendi
Ndiyo ukiona mbebez anafunga macho my dear una sura ngumu.
Huwa tunafunga macho halafu tunavuta picha ya mhendisamu
Mm alikuwa Mwanajeshi alafu MnyakyusaaaaHahahahaha sasa si ungeliacha mom. Au ndiyo lina mapesa.
Kama rafiki yangu alikuwa na mbebezi msenegal duuh sura kama lami.
Kumbe pamoja na misura yetu mibaya huwa mnatuachia kavukavu bila kutumia silaha za maangamizi
ongezea buku hapo ya pain killers nikutumie9000 na ya hospital 10,000 jumla 19000.
Inaniuma sana.
Umenikumbusha kitu Ptuuuuuuuuuu.......Mm alikuwa Mwanajeshi alafu Mnyakyusaaaa
Ya kazi gani?
Una kazi?9000 na ya hospital 10,000 jumla 19000.
Inaniuma sana.