Usiombe yakukute yaliyonikuta

Usiombe yakukute yaliyonikuta

Kilichonifurahisha hapa ,ulikuwa na boyfriend 1 na sio wengi.Hali kama hii ikimkuta mtu anakuwa anawaza ni yupi atakuwa baba kama nina mimba?

Hongera sana mkuu kwa kuwa na one love affair not many love affairs.
Ningekuwa na wengi ningekufa presha.
 
You are specialized in reparing broken hearts...

Sura ipo lakini jemedari? Isijeikawa unafumbiwa macho.
sura kama ya avatar tu ila
nitacover na ya mfukoni

maswali gani haya kwanza au hujui hawa wana huruma ??
 
sura kama ya avatar tu ila
nitacover na ya mfukoni

maswali gani haya kwanza au hujui hawa wana huruma ??


Mfukoni ukiwa swafi si ndio wanakukubalia ila wanafumba macho ili kusearch picha le hansome? Haujamsoma cute b ?

Huruma wanayo si ndio maana mleta uzi alishaamua potelea mbali akaanza kujirudisha kimya kimya baada ya safari ya angani kugoma?
 
Hi guys!!!
Mwenzenu kilichonipata,[emoji23] [emoji23]
Tareh 15 mwezi uliopita nilimwacha aliyekuwa mpenzi wangu.
Sasa basi tarehe 28 mwezi uliopita ilitakiwa nisafiri kwenda mwezini ( kwa wakubwa tuu wataelewa).
Siku imefika safari haijaanza, nikasema labda kesho, kesho yake wapi ndiyo kwanza hata dalili sioni[emoji17] [emoji17] .
Ikafika tarehe tatu nikasema hapa baby nimemwacha ukute nina chata yake tayari sijui nitafanyaje, kwa kuwa alikuwa bado ananibembeleza nikasema ngoja ninunue preg test nipime kama ipo nimsamehe kama haipo nimlime total ban.
Nikanunua kipimo nikapima kikaonyesha sina, ila sikuamini maana hofu tayari ilishanifanya nihisi nina dalili za ujawepesi[emoji12] .
Nikahisi nimekosea kupima, nikaenda kununua vingine viwili, na kile cha mwanzo vikawa vitatu nikapima majibu yakaja yale yale.
Mpaka Jana asubuhi ikawa bado.
Nikaingia Google nikagundua vile vipimo huwa havisemi ukweli % zote.
Nikaamua kununua vingine vi 3 makampuni tofauti, majibu yakawa yale yale,
Hapo nimeshaanza kuchart na ex naelekea kumsamehe, nisije mwacha kumbe Nina mtoto wake mtoto wangu aje akose baba bure!!!.
Mchana nikaenda hospital kupima cha ajabu nao kipimo wanatumia vya aina ile ile.
Nikarudi nyumbani nimesinyaa.
Hapo tumbo linauma siku mbili kama naingia hedhi lakini siingii ila nikaambiwa ni dalili moja wapo ya ujauzito.
Nikafika nyumbani nikalala kuamka mwezi huo hapo nauona[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] .
Ilibaki kidogo nizikumbatie yaani niliruka ruka kama vile nimeshinda BIKO yani.
Ila sasa hela nilizotoa kununua hivyo viupuuzi zinaniumaje[emoji34] [emoji34] [emoji34] [emoji34] .
Nani mwingine aliwahi kukutwa na hii kitu??

Wale team watakatifu wa "kwa nini ulizini kabla ya ndoa", sitaki ushauri jamani sitaki kupangiwa matumizi. Na sijakoma japo niliahidi kukoma.


Basi Tuwasiliane baada ya miezi 9 kupita, sitaki unibambikie litoto la mtu mwingine.
 
You are specialized in reparing broken hearts...

Sura ipo lakini jemedari? Isijeikawa unafumbiwa macho.
Siyo kufungiwa macho tuu.
Na hii pia lazima ihusike.
IMG_20180806_114649_927.JPG
 
Na za kwetu wanaume anazo? Ila kama mtu haupo kwenye magroup au hana namba yako anaipata vipi picha yako?

Leo acha tujumuike na wewe kusherehekea ushindi wa kukoswakoswa na umama mtarajiwa.

Watu wanafikiri haupendi mtoto, la hasha. Ni jambo la muda na kuwa tayari.
Za wanaume pia anazo.
Si ulisikia anajua hadi wanaume wenye vibamia?[emoji12] [emoji12]
Karibu tusherekee pamoja.
 
Wanaume muwe mnawaombe sana Wachumba zenu..

And vice versa..! [emoji41][emoji41]
 
Ndiyo nina hela ya mawazo ndiyo maana bado na fight kila siku naamka saa 11 asubuhi nalala saa 5 usiku.
Umeridhika sasa?
Sihitaji kuridhishwa na wewe!!
Ela uliyo itaja na kusikitika huku ukiwa na kipato kizuri, inatushangaza.

Sababu unazi zieleza bado zinatia shaka!!

Kulala saa 5 ni kwamba ulikuwa unafanya kazu kuanzia saa 11 hadi saa 5 usiku, au hata kama muda wa kazi unaisha saa 10 jion lkn ratiba yako ni kulala saa 5?

Kuwahi kuamka au kuchelewa kulala haimaanishi ndo ku-fight.

Isije ikawa workdone=0
 
Wewe mm nilikaa siku 36 bila kuona weee niliumwa alafu kucheki ni li mwanaume lina sura mbaya silipendagi nikajua leo sasa naolewa na hili likaka linavyonipenda likisikia nimedaka alafu ya kwake litafurahi sana mawazo tumbo jotoo nikapoa kama sina akili nzurii wee nikaishia na pozii sasa kila nikienda chooni najichungulia hamna kitu weee raha nikakosa mawazo si mawazoo usingizi hamna nawazaa hiyo siku nikasema naenda kufanya utra sound naambiwa hamna kitu sijaamini weee ile narudi home mkojo umenibana yale maji unakunywa ili ufanyiwe ultra sound maraaa paaap nakutana na Period niliruka ruka na kupiga kelele mpaka jirani yangu akaniuliza umeshindwa TATU MZUKA
Hii ni chai isiyo na sukari
 
Back
Top Bottom