Ningekuwa na wengi ningekufa presha.Kilichonifurahisha hapa ,ulikuwa na boyfriend 1 na sio wengi.Hali kama hii ikimkuta mtu anakuwa anawaza ni yupi atakuwa baba kama nina mimba?
Hongera sana mkuu kwa kuwa na one love affair not many love affairs.
Matunda si ndo hayo yameonesha huna mimba?Kwa sababu nina malengo ya kuwa tajiri.
Hela yoyote ninayoitoa napenda izalishe au nione matunda.
sura kama ya avatar tu ilaYou are specialized in reparing broken hearts...
Sura ipo lakini jemedari? Isijeikawa unafumbiwa macho.
Kwenye kugegedana na kulinda havihusianiUnawatus wakat hawalali wanakulinda ww na nchi yakoo
Unanipenda[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Jana ulikuwa kuniwangia nin mana nimekuota sanaa
sura kama ya avatar tu ila
nitacover na ya mfukoni
maswali gani haya kwanza au hujui hawa wana huruma ??
Jimbo lipo wazi hili [emoji23][emoji23][emoji23] am on itOngezea and available
Hi guys!!!
Mwenzenu kilichonipata,[emoji23] [emoji23]
Tareh 15 mwezi uliopita nilimwacha aliyekuwa mpenzi wangu.
Sasa basi tarehe 28 mwezi uliopita ilitakiwa nisafiri kwenda mwezini ( kwa wakubwa tuu wataelewa).
Siku imefika safari haijaanza, nikasema labda kesho, kesho yake wapi ndiyo kwanza hata dalili sioni[emoji17] [emoji17] .
Ikafika tarehe tatu nikasema hapa baby nimemwacha ukute nina chata yake tayari sijui nitafanyaje, kwa kuwa alikuwa bado ananibembeleza nikasema ngoja ninunue preg test nipime kama ipo nimsamehe kama haipo nimlime total ban.
Nikanunua kipimo nikapima kikaonyesha sina, ila sikuamini maana hofu tayari ilishanifanya nihisi nina dalili za ujawepesi[emoji12] .
Nikahisi nimekosea kupima, nikaenda kununua vingine viwili, na kile cha mwanzo vikawa vitatu nikapima majibu yakaja yale yale.
Mpaka Jana asubuhi ikawa bado.
Nikaingia Google nikagundua vile vipimo huwa havisemi ukweli % zote.
Nikaamua kununua vingine vi 3 makampuni tofauti, majibu yakawa yale yale,
Hapo nimeshaanza kuchart na ex naelekea kumsamehe, nisije mwacha kumbe Nina mtoto wake mtoto wangu aje akose baba bure!!!.
Mchana nikaenda hospital kupima cha ajabu nao kipimo wanatumia vya aina ile ile.
Nikarudi nyumbani nimesinyaa.
Hapo tumbo linauma siku mbili kama naingia hedhi lakini siingii ila nikaambiwa ni dalili moja wapo ya ujauzito.
Nikafika nyumbani nikalala kuamka mwezi huo hapo nauona[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] .
Ilibaki kidogo nizikumbatie yaani niliruka ruka kama vile nimeshinda BIKO yani.
Ila sasa hela nilizotoa kununua hivyo viupuuzi zinaniumaje[emoji34] [emoji34] [emoji34] [emoji34] .
Nani mwingine aliwahi kukutwa na hii kitu??
Wale team watakatifu wa "kwa nini ulizini kabla ya ndoa", sitaki ushauri jamani sitaki kupangiwa matumizi. Na sijakoma japo niliahidi kukoma.
Za wanaume pia anazo.Na za kwetu wanaume anazo? Ila kama mtu haupo kwenye magroup au hana namba yako anaipata vipi picha yako?
Leo acha tujumuike na wewe kusherehekea ushindi wa kukoswakoswa na umama mtarajiwa.
Watu wanafikiri haupendi mtoto, la hasha. Ni jambo la muda na kuwa tayari.
SawaUnanipenda[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Hawa ndo wale tunaowaokotea vichanga vyao kwenye mifuko ya rambo.Yan umepata ujauzito badala ya kushukuru unaanza kukasilika Duuuuu
Kuna wenzako kila uchwao wana tafuta mtt try kushukuru kwa kila jambo aitheee
Sihitaji kuridhishwa na wewe!!Ndiyo nina hela ya mawazo ndiyo maana bado na fight kila siku naamka saa 11 asubuhi nalala saa 5 usiku.
Umeridhika sasa?
Hii ni chai isiyo na sukariWewe mm nilikaa siku 36 bila kuona weee niliumwa alafu kucheki ni li mwanaume lina sura mbaya silipendagi nikajua leo sasa naolewa na hili likaka linavyonipenda likisikia nimedaka alafu ya kwake litafurahi sana mawazo tumbo jotoo nikapoa kama sina akili nzurii wee nikaishia na pozii sasa kila nikienda chooni najichungulia hamna kitu weee raha nikakosa mawazo si mawazoo usingizi hamna nawazaa hiyo siku nikasema naenda kufanya utra sound naambiwa hamna kitu sijaamini weee ile narudi home mkojo umenibana yale maji unakunywa ili ufanyiwe ultra sound maraaa paaap nakutana na Period niliruka ruka na kupiga kelele mpaka jirani yangu akaniuliza umeshindwa TATU MZUKA