Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
- Thread starter
-
- #21
actually, umalaya ni dhambi, na wanatakiwa kusaidiwa, kwasababu sio umalaya tu ndio dhambi, kuna watu wana dhambi kuliko malaya lakini kutwa wamekalia kunyoosha vidole kwa malaya. kwa Mungi usijihesabie haki sana, hao uliowataja pamoja na umalaya wao lakini wamekuwa historia kwenye Bible.Unamkumbuka Rahabu wa kwenye Biblia?, Unamkumbuka yule mwanamke mdhambi aliyelia na kondosha machozi yake miguuni pa Yesu??. Naomba tuanzie hapo kwanza.
Akiwepo mama watoto je?Mi house girl wangu nampenda sana aisee,mama watoto akiwa mbali anapiga savanah na heineken kama mama watoto na anapumzika vizuri.
Una huruma sana mkuu.
Hurumia wote, treat wote kibinadam isipokuwa makahaba wanaojiuza.
Hao ikibidi wauawe tu.
Ni kwel bt si kwa makahaba.Usihukumu, usije kuhukumiwa.
Jifunze kuweka akiba ya maneno. Ninaamini wewe bado kijana mdogo.Una huruma sana mkuu.
Hurumia wote, treat wote kibinadam isipokuwa makahaba wanaojiuza.
Hao ikibidi wauawe tu.
Sidhan kama kuna haja ya kufanya hvyo kwa hlo kundi la watu.Jifunze kuweka akiba ya maneno. Ninaamini wewe bado kijana mdogo.
Wateja wao vpNi kwel bt si kwa makahaba.
Anauzia wapi,mtaji anao,wote watauza kahawa au ssoksi?Japo nimesoma kidogo ila naomba tujifunze jambo kuwa kipindi kile hata Mungu alijifanya mjinga ndiyo maana kuna wakati hata ndugu walizini pamoja na haikuwa hatari kubwa although was still ni dhambi.
Hawa wa sasa Mungu siyo mjinga kiasi hicho aseee, dunia tayari imepevuka sana, mtu kuingia kwenye biashara haramu alafu itumike kinga ya kumuonea 'soni' si sahihi hata kidogo.
Now (mfano) badala ya kujiuza anaweza kuuza kahawa au soksi!.
you are all of me🤗Sijasoma yote ila naamini ni mambo ya msingi umeandika
Ulichosahau ni kuwa kuna Sababu nyingi zinazoweza kupelekea mtu had kuwa hvyo na baadhi zinasababishwa na jamii yenyeweJapo nimesoma kidogo ila naomba tujifunze jambo kuwa kipindi kile hata Mungu alijifanya mjinga ndiyo maana kuna wakati hata ndugu walizini pamoja na haikuwa hatari kubwa although was still ni dhambi.
Hawa wa sasa Mungu siyo mjinga kiasi hicho aseee, dunia tayari imepevuka sana, mtu kuingia kwenye biashara haramu alafu itumike kinga ya kumuonea 'soni' si sahihi hata kidogo.
Now (mfano) badala ya kujiuza anaweza kuuza kahawa au soksi!.
Nimeandika (MFANO) sijasema waende kuuza kahawa au soksi😐!.Anauzia wapi,mtaji anao,wote watauza kahawa au ssoksi?
Hao wasomi tu hawana Cha kufanys kuingiza kipatoElimu yetu kweli ni tatizo.
Nimeandika (MFANO) sijasema waende kuuza kahawa au soksi😐!.
Tunasoma vitabu.Kinachofuata Baada ya hapo??.
Wanasaidiana kazi.Akiwepo mama watoto je?