daydreamerTZ
Senior Member
- Sep 26, 2020
- 146
- 233
Wewe ni consultant au consultancy?habari yako nimesoma thread yako mimi pia ni consultancy kwa muda zaidi ya muongo mmoja sasa ukihitaji saport ya kukimbiza kazi tafadhari usisite kuwasiliana nasi kwa namba hizi
usipoteze maana typing error siyo jambo la kutaka kufanya maana kusudiwa iharibike hii ndiyo maana sababu ya wengi kama nyie mnakuwa mwishoni mwa mafanikio kwasababu mnaanza kuangalia kakosea wapi na siyo key success point badirika na wale wanaotumia r au ntu?Wewe ni consultant au consultancy?
Mkuu nimepokea hii kwa mtazamo chanya. shukrani nitakucheck asantehabari yako nimesoma thread yako mimi pia ni consultancy kwa muda zaidi ya muongo mmoja sasa ukihitaji saport ya kukimbiza kazi tafadhari usisite kuwasiliana nasi kwa namba hizi
mkuu nipigie 0629706263 au nitext Whatsapp nikupe full costNataka kusajili kampuni gharama ni kiasi gani
Hapana mkuu, hapo nilitaka kujua kama ni typing error au ulikusudia kwa kile ulichoandika.usipoteze maana typing error siyo jambo la kutaka kufanya maana kusudiwa iharibike hii ndiyo maana sababu ya wengi kama nyie mnakuwa mwishoni mwa mafanikio kwasababu mnaanza kuangalia kakosea wapi na siyo key success point badirika na wale wanaotumia r au ntu?