Usipende kutoa siri za biashara yako kwa watu wasio wateja wako

Usipende kutoa siri za biashara yako kwa watu wasio wateja wako

...ni kweli Kwenye biashara kunahitaji usiri Ila sidhani kwa style hyo ya Bei elekezi...

Mana nimejaribu kuchukulia mfano makampuni makubwa apa nchini kama Azam na Metl...afu nikajaribu kulinganisha na ulichoandka naona bado haileti maana.

Haya makampuni makubwa Siri zao zinakuwa ktk uzalishaji na ktk vitabu vyao (mapato na matumizi) Ila sio Kwenye Bei.

Kuhusu coca na pepsi hzo ni substitute goods ni kawaida kwao mmoja Bei akipanda na mwengine demand huongezeka...

So,kwa kifupi ni kwamba mfanya biashara asiogope kutangaza Bei za bidhaa zake kwa wateja wake...kwasababu Bei hutokana na gharama za bidhaa na ubora wake,so mfanya biashara anaejiamini huwa huwa haogopi kupoteza wateja kwa kuwatajia Bei sahihi.

Pia kaa ukijua mfanyabiashara mwenzangu...kuna aina ya wateja tofautitofauti,hao aliowataja mleta mada ni mojawapo ya aina ya wateja...ukiwatreat vibaya ndo umewafukuza hvyo.
Kuna aina nyingi za wateja na sifa zao so ni vizuri mfanyabiashara ukawajua.

Baadhi ya vtu vinavyoweza kuvuta au kufukuza wateja ktk biashara yako ni:-
Ubora
Uaminifu
Usafi
Bei
n.k.....
swadakta
 
When you are near you must make your enemy believe you are far away and vice versa

If you know the enemy and know yourself you need not fear the result of 100 battle

Hzo ndo mbinu za vita.
NB: Kuona jua na mwezi haimaanishi unamacho makali
 
Sasa usipo taja bei huyoo mteja hawezi rudi alaf bei sio siri ya biashara ndo maana sehemu nyngn unakuta bei zimebandikwa kwny bidhaa husika
 
Kuna vitu siyo siri ila wabongo tunafanya siri kweli. Bei ya vitu na mishahara siyo siri ila bongo ni kama nyara vile. Tunaacha kuwa wabunifu tunabaki kuweka siri zisizo na msaada.
 
When you are near you must make your enemy believe you are far away and vice versa

If you know the enemy and know yourself you need not fear the result of 100 battle

Hzo ndo mbinu za vita.
NB: Kuona jua na mwezi haimaanishi unamacho makali
Wala kusikia muungurumo wa radi haimaanishi unauwezo mzuri wa kusikia.
 
Bro kama hukubaliani na mtoa mada bora ukapinga kwa point kulko ivi ulivoandika
Broo mpotezee tu!!

haya ndo machawi yenyewe haya! failure drsani mpaka mitaani!! Mungu mwenyewe bwana mkubwa anawajua wachawi, sembuse yeye huyo mchamba wima?

kwanza hana mvuto ktk ulimwengu wa wachawi!! au ana nafikika ndiyo sifa kubwa ya wachawi!!

na machawi wana akili anataka wenye kila kitu kuanzia Mvuto wa nyota mpaka Mapato!! chezea mwanga? afu wakija humu wanajidai watakatifuuuuu! eti hkn kitu km hicho!!! watu wanaroga mpaka madhabahu ya bwana!! sembuse mnuka kikwapa wa Manzese?

Km yuko humu JF yu tube za kichawi hajawahi kuziona? Soccaler hawajui?
 
Umeongea ukweli mtupu mi na rafiki yangu siku moja nikajichanganya nikaenda nae ninaponunua mzigo, alikuwa kufanya kama Mimi tena yeye anauza bei ndogo mno
 
Ila hao wanaouliza halafu hawanunui wanakera Sana utasikia ntakuja baadaye shenzi type,ni moja ya dalili za uchawi
 
Back
Top Bottom