...ni kweli Kwenye biashara kunahitaji usiri Ila sidhani kwa style hyo ya Bei elekezi...
Mana nimejaribu kuchukulia mfano makampuni makubwa apa nchini kama Azam na Metl...afu nikajaribu kulinganisha na ulichoandka naona bado haileti maana.
Haya makampuni makubwa Siri zao zinakuwa ktk uzalishaji na ktk vitabu vyao (mapato na matumizi) Ila sio Kwenye Bei.
Kuhusu coca na pepsi hzo ni substitute goods ni kawaida kwao mmoja Bei akipanda na mwengine demand huongezeka...
So,kwa kifupi ni kwamba mfanya biashara asiogope kutangaza Bei za bidhaa zake kwa wateja wake...kwasababu Bei hutokana na gharama za bidhaa na ubora wake,so mfanya biashara anaejiamini huwa huwa haogopi kupoteza wateja kwa kuwatajia Bei sahihi.
Pia kaa ukijua mfanyabiashara mwenzangu...kuna aina ya wateja tofautitofauti,hao aliowataja mleta mada ni mojawapo ya aina ya wateja...ukiwatreat vibaya ndo umewafukuza hvyo.
Kuna aina nyingi za wateja na sifa zao so ni vizuri mfanyabiashara ukawajua.
Baadhi ya vtu vinavyoweza kuvuta au kufukuza wateja ktk biashara yako ni:-
Ubora
Uaminifu
Usafi
Bei
n.k.....