Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,772
- 22,598
Hapo umeongezewa na mikosi mingine...Nilikuwa na taka kupata cheo kazini kiongozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo umeongezewa na mikosi mingine...Nilikuwa na taka kupata cheo kazini kiongozi
Toa fungu la kumi na uweke Nia.Nilikuwa na taka kupata cheo kazini kiongozi
😆😆 tamaa za kupata madaraka ni mbaya sio kwako tu.Nilikuwa na taka kupata cheo kazini kiongozi
Kabisa sema sio saana maana toka majuzi nilivo anza kwenda kanisani nikapata unafuuHapo umeongezewa na mikosi mingine...
Jana nilitubu na leo mambo yangu yapo sawaToa fungu la kumi na uweke Nia.
Sema sasa inabidi ukubali kuacha dhambi, Yesu anachukia dhambi mno.
Kwenye suala la dhambi, Yesu Hana utani na mtu.
Ungekuwa wewe ungerudi?Kwani amesharudi?
Kila njia ya Shetani Ina gharama...Kabisa sema sio saana maana toka majuzi nilivo anza kwenda kanisani nikapata unafuu
Jana nilitubu na leo mambo yangu yapo sawa
Saiv nimeshatoka nipo zangu kigamboni napata upepo wa bahari umeme wenyewe wamenikatia hapa toka jana saa 5 usikuKila njia ya Shetani Ina gharama...
Kuingia kwa Shetani ni rahisi ila kutoka sio...
Hapo umeanzisha vita
Barikiwa sana kiongozi AminaSawa mkuu ngoja nikusindikizie huu mstari.
Zaburi 103:3-5,9-11,14-15,17-18
[3]Akusamehe maovu yako yote,
Akuponya magonjwa yako yote,
Who forgiveth all thine iniquities; who healeth all thy diseases;
[4]Aukomboa uhai wako na kaburi,
Akutia taji ya fadhili na rehema,
Who redeemeth thy life from destruction; who crowneth thee with lovingkindness and tender mercies;
[5]Aushibisha mema uzee wako,
Ujana wako ukarejezwa kama tai;
Who satisfieth thy mouth with good things; so that thy youth is renewed like the eagle's.
[9]Yeye hatateta sikuzote,
Wala hatashika hasira yake milele.
He will not always chide: neither will he keep his anger for ever.
[10]Hakututenda sawasawa na hatia zetu,
Wala hakutulipa kwa kadiri ya maovu yetu.
He hath not dealt with us after our sins; nor rewarded us according to our iniquities.
[11]Maana mbingu zilivyoinuka juu ya nchi,
Kadiri ile ile rehema zake ni kuu kwa wamchao.
For as the heaven is high above the earth, so great is his mercy toward them that fear him.
[14]Kwa maana Yeye anatujua umbo letu,
Na kukumbuka ya kuwa sisi tu mavumbi.
For he knoweth our frame; he remembereth that we are dust.
[15]Mwanadamu siku zake zi kama majani;
Kama ua la kondeni ndivyo asitawivyo.
As for man, his days are as grass: as a flower of the field, so he flourisheth.
[17]Bali fadhili za BWANA zina wamchao
Tangu milele hata milele,
Na haki yake ina wana wa wana;
But the mercy of the LORD is from everlasting to everlasting upon them that fear him, and his righteousness unto children's children;
[18]Maana, wale walishikao agano lake,
Na kuyakumbuka maagizo yake ili wayafanye.
To such as keep his covenant, and to those that remember his commandments to do them.
Anaishi wapiAddress ni Neno la Mungu
Kwa ule mziki hapana kwa kweliUngekuwa wewe ungerudi?
Mtaji wa kwanza wa mwanadamu siyo fedha Bali ni UAMINIFU.Umeokoka ee safi sana
😂😂😂😂 hakika nisingethubutuUngekuwa wewe ungerudi?
Nimejikuta namkumbuka Solomon Mukubwa
🤣🤣🤣🤣Kha!hapanaAlienda kwa mganga?