Jogoo mbegu
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 824
- 3,449
Ukiwa katika mkoa wa moshi, tanga,singida, dodoma na iringa ni bure mikoa mingine kutegemea na idadi ya ng'ombe bei itapungua! KaribuGharama za kuwapelek ukweni ?
Fika Arusha =makao mapya karibu na ofisi za marangu ndipo ofisi yangu ilipoMkuu unapatikana wapi,??
Je ofisi zenu zipo na mikoani
Je mnapoteza ng'ombe tu, vp kuhusu pesa??
Gharama zenu ni kiasi gani??
Eti wanataka mahari ya ng'ombe 25 madume😄😄
Wewe njoo kambi ya mbuni hapa kituo njia panda ntakufataNpo duka bovu nawapataje🤣
Naijua hyo🤣🤣🤣Wewe njoo kambi ya mbuni hapa kituo njia panda ntakufata
Hahaha basi njoo TMA hapa ni salama kabsaNaijua hyo🤣🤣🤣
TMA unyama sana natokeaHahaha basi njoo TMA hapa ni salama kabsa
Tupe uzoefu wako katika kazi hiyo,🤔na je unafanya hivyo mikoa ipi au mkoa fulani tu😂Tunakodisha Ng'ombe Kwa Ajili Ya Kulipia Kama Mahari, Namna Watakavyopotea Huko Ukweni Niachie mimi. Karibuni🙏🙏🙏
Tupe uzoefu wako katika kazi hiyo,🤔na je unafanya hivyo mikoa ipi au mkoa fulani tu😂Tunakodisha Ng'ombe Kwa Ajili Ya Kulipia Kama Mahari, Namna Watakavyopotea Huko Ukweni Niachie mimi. Karibuni🙏🙏🙏
🤣🤣🤣🤣Tupe uzoefu wako katika kazi hiyo,🤔na je unafanya hivyo mikoa ipi au mkoa fulani tu😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] tutampoteza hata akiwa tumboni
Ooh dear nilikua nasubr engagement yko nifarijike kidogo malkia wa nguvu😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]