Jamani mwenzenu umri wangu ni 24yr, Tatizo langu nina MB ndogo ninavyojua mimi, Mpaka nahisi nimepata matatizo ya kisaikoloji maana muda mwingi huwa napata mawazo san pale nnapokubaliwa na mwanamke, Namshukuru mungu nimejaaliwa kazi, so wanawake haiwi ngum sana kuwapata japo huwa sipendi kuwa karibu nao kuhofia endapo itatokea nikatembea naye najua siri itatoka nina MB ya kama inch 6 urefu, na 4.9 unene , sijawahi kujiamin hata siku moja japo kwenye mitandao nikijaribu kuangalia wanadai 5.1'' ndo standard lakin sidhan kama hapa tz kama ndo average maana... duu, toka tukiwa tunasoma tulikuwa tunaoga pamoja bafun na friends wote walikuwa na kubwa kuliko yangu, nadhan hofu yangu ndipo ilipoanzia na wapo waliwah kuniambia kabisa kuwa nn MB ndogo, SINA FRAHA YA MAISHA KABISA NDUGU ZANGUNI, naombeni USHAURI WENU MAANA NIPO KWENYE WAKATI MGUM SANA, NIPO SERIOUS