Jamani hili suala la jkt mi bado nipo gizani,hivi ni kweli bila kupitia jkt huwezi kupata chuo,na wanaokwenda jkt ni watu wa aina gani? Na wanakwenda
kwa vigezo gani?
Alikwambia nan acha ujinga we kijana unakuja kuvuruga akil za watu humu na ambao tayar wapo vyuon inakuaje diploma applicants hao nao vp fikir sana kijana