Jamani hili suala la jkt mi bado nipo gizani,hivi ni kweli bila kupitia jkt huwezi kupata chuo,na wanaokwenda jkt ni watu wa aina gani? Na wanakwenda
kwa vigezo gani?
Alikwambia nan acha ujinga we kijana unakuja kuvuruga akil za watu humu na ambao tayar wapo vyuon inakuaje diploma applicants hao nao vp fikir sana kijana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.