Usipofanya haya, utabaki unalalamika kila siku na kila mwaka


Amina.
 
sio kila mjane na kilema anapaswa kupewa sadaka. utatoa sadaka kwa mapepo
 
Yap

Maombi na sadaka ndio ndio!!

Japo Kila mtu hufunuliwa kivyake!!
 
Kwa sabab wewe ushapat mchongo huko jahanam ndo unatutaka tufate nyayo zako?.
Huku uzaramon kwetu bila kuwanga hutoboi
hapana ,kuna muda tunachangamsha genge,kuna muda tuna share secret codes kuinuana. mm kwa waganga nimewahi kwenda ila sikufanikiwa mambo yangu. nilipo amua kumshirkisha MUNGU nilipata kazi tena ofisi mbili tofauti kwa wakati mmoja(kama nadanganya naomba MUNGU anihukumu)
 
Niachie room yako mkuu nikahiegeshe huku najitafuta mana huku nilipo na kamchongo nlikokapata sahiz nawez nisitoboe. Uswahilin sana Yani Bora nisogee tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…