Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,518
- 10,839
Mafala tu haya CAF yenyewe hawashiriki na siku wakijichanganya kwenye CAF ni ban na faini tu. Watu wanachukulia poa sana logo. Yani kisheria ku-modify tu logo una kesi ya kujibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mafala tu haya CAF yenyewe hawashiriki na siku wakijichanganya kwenye CAF ni ban na faini tu. Watu wanachukulia poa sana logo. Yani kisheria ku-modify tu logo una kesi ya kujibu.
"Na Adhabu Inaweza Kuongezeka Kufikia Kuporomoshwa Daraja"Kama ni milioni 3 kwa kila mechi basi ss kama Yanga tumeandaa milioni 90 kwa msimu mzima
Kanuni inasema ukishapigwa faini na ukaendelea na utovu wa nidhamu adhabu inaweza kufikia hatua ya kufungiwa. Huu ujinga hauna faida, ndiyo yale ya shabiki wa yanga kumkuta amevaa jezi ya arsenal nyekundu.Ngoja tuone!!hiki ndicho kipimo kikubwa, je yanga wakikataa , kuvaa jezi yenye nembo nyekundu, na NBC, wakakataa kubadirisha rangi, hizo kanuni zao zitafanya kazi?!!!
Kanuni inasema ukishapigwa faini na ukaendelea na utovu wa nidhamu adhabu inaweza kufikia hatua ya kufungiwa. Huu ujinga hauna faida, ndiyo yale ya shabiki wa yanga kumkuta amevaa jezi ya arsenal nyekundu.Ngoja tuone!!hiki ndicho kipimo kikubwa, je yanga wakikataa , kuvaa jezi yenye nembo nyekundu, na NBC, wakakataa kubadirisha rangi, hizo kanuni zao zitafanya kazi?!!!
Usitake tukumbushie zile bilioni zetu 20 hapa!! Wewe endelea tu kurusha mawe na wakati huo huo ukiwa umejisitiri kwenye nyumba ya vioo.Labda hiyo M100 mkaiibe
Afe ile M10 ya CAF mlilipa?
Ni upumbavu wa (ama niite ushirikina) kiafrika tu. Kwani Yanga ama Simba wakivaa jezi zenye rangi tofauti na rangi zao hawachezi? Wanaathirika nn? Nakumbuka Yanga sio mara ya kwanza kuwa na ubishi wa kupumbavu namna hii, walibishana na Vodacom kuhusu ile nembo ya Vodafone ambayo ni nyekundu. Mbona Ulaya timu zina rangi zao, lakini mazingira yakiwa sio favorable wanavaa rangi yoyote? Mie Man U damu kbs, tuna jezi za kila rangi, ingawa home kit ni nyekundu! Unakuta kuna jezi nyeusi, bluu, nyeupe, dark brown nk.Ngoja tuone!!hiki ndicho kipimo kikubwa, je yanga wakikataa , kuvaa jezi yenye nembo nyekundu, na NBC, wakakataa kubadirisha rangi, hizo kanuni zao zitafanya kazi?!!!
Waende kabisa hatuwataki utopoloWaendelee na mipango yao Yanga inahamia ligi ya Kenya.
Usishangae Wakikwambia Hawana DAMU...!Vipi DAMU yao inarangi gani? Njano au kijani? IDIOT KABISA
Mbona washabadirisha ni nyeusiNgoja tuone!!hiki ndicho kipimo kikubwa, je yanga wakikataa , kuvaa jezi yenye nembo nyekundu, na NBC, wakakataa kubadirisha rangi, hizo kanuni zao zitafanya kazi?!!!
Twiga Mweusi....Hana Mabaka Meupe? Hiyo ni Yaleyale.Mbona washabadirisha ni nyeusi
Ndio maana nikasema itakuwaje endapo mdhamini akikataa , na yanga akasimamia hapo hapo, je bodi ya ligi watafanyaje?Mbona washabadirisha ni nyeusi
Nadhani katiba ya Yanga haijataja rangi nyeupe. Imekataza rangi nyekundu tuNdio maana nikasema itakuwaje endapo mdhamini akikataa , na yanga akasimamia hapo hapo, je bodi ya ligi watafanyaje?