SoC01 Usipomkimbilia na kumtumikia Mungu, shetani atakukimbilia na kukutumikisha

SoC01 Usipomkimbilia na kumtumikia Mungu, shetani atakukimbilia na kukutumikisha

Stories of Change - 2021 Competition

Mtumaini Mungu

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2021
Posts
879
Reaction score
1,084
Habari ewe mwanadamu.
Ninamshukuru Mungu kwaajili yako, pole pia kama upo katika magumu yoyote kwa fikra na macho ya kibinaadamu.

Moja kwa moja niende kwenye kusudi la kuanzisha nyuzi hii ambayo naamini endapo utaisoma vyema na kuitendea kazi kazi basi utayaona Mabadiliko kwenye maisha yako.

Hapa ulimwenguni kuna mambo mengi sana ambayo kwa ujumla wake yanaendeshwa na nguvu ya IMANI, nguvu hii kiimani imegawanyika katika sehemu kubwa mbili, Mosi nguvu ya nuru (Upande wa Mungu) na Pili nguvu ya giza (Upande wa shetani). Yeyote awaye mwanadamu ana Uhuru wa kuchagua upande atakao, lakini Mimi leo hi nitakuelekeza namna unavyoweza kufanya Mabadiliko ya kudumu kwenye maisha yako na ya wengine kwa kuifuata nguvu ya nuru.

Licha ya mwanadamu kuwa na Uhuru wa kuchagua upande wa kuutumikia, hakuna mwanadamu awezaye kuchagua kuzitumikia pande zote mbili, kimwili unaweza ukaamua kuchagua upande wa nuru lakini kiroho ukawa unatumia upande wa giza kufanikisha mambo yako (Hapa ni wazi wewe Huna nafasi kwa Mungu, ila kwa shetani umepewa cheo kikubwa). Ili uutumikie upande wa Nuru, yakupasa kufanya maamuzi lakini ili uutumikie upande wa giza bila hata maamuzi yako unaweza.

Mungu hupenda watu wote Wamjue na Kumtumikia yeye lakini Hawalazimishi, shetani hufanya kila awezalo (anakulazimisha) utumikie yeye. Hivyo Basi kwakua Mungu Hamlazimishi mtu inakupasa wewe mwanadamu kuwa tayari, kwa moyo wa dhati kuamua Kumtumikia yeye, na endapo utaamua toka ndani yako nikuhakikishie Mungu yupo naye Huonekana na Kuwajibu wote Wamtafutao.

Shetani kikawaida hunyemelea sana wale ambao hawajafanya maamuzi ya kwenda kwenye nuru, huwavuta kwake kwa vitu mbalimbali, anasa za maisha, itikadi na misimamo, uzinzi, bidhaa za matumizi n.k Lakini mtu anapofanya maamuzi ya Kumtumikia Mungu, Basi Mungu humlinda kusudi shetani asiweze kumshurutisha mtu na kumtumikisha huyo kupitia baadhi ya mambo tajwa hapo juu.

Je, Ninawezaje Kumtumikia Mungu?
Mungu yupo tayari kwaajili ya wote Wamtafutao, hivyo hatua ya Kwanza yakupasa kuazimia toka ndani ya nafsi yako kuwa "Nitamtafuta na Kumtumikia Mungu" baada ya hapo fanya toba, Muombe Mungu akusamehe makosa yako, haijalishi umekua mzinzi, mlevi, mwizi, muuaji, au hata mchawi kwa muda gani na umefanya mabaya mangapi punde tu utakapo amua kwa dhati kumrudia Mungu, basi atakusamehe na Kukukaribisha nyumbani mwake. (Toba sio kwaajili ya dini, Bali toba ni kumpa Mungu nafasi ya kuingilia kati matatizo yako na kujenga uhusiano binafsi na yeye).

Ukishafanya toba, unatakiwa kupiga hatua sasa kwa kutoyarudia yale ambayo yalikuzuia Kumtumikia Mungu, Kama ni ulevi jizuie usiguse wala kutumia vilevi, kama ni uzinzi jitahidi basi kujiweka mbali na vile vichagizo vilivyokuwa vinakuhamasisha kuzini, na kama ni uchawi choma moto kila zana (Kama unaogopa peleka sehemu unapoabudia kulingana na dini yako, na kama huna pa kuabudia lakini umeeazimia kuacha basi omba msaada kwa kiongozi yoyote wa dini yoyote aliye karibu nawe).

Baada ya kuweka jitihada za kutorudia tena, Sasa jikite kwenye kutenda mambo mema na ya Kumpendeza Mungu, Mtumaini na Kumtegemea yeye katika kila Jambo, saidia wasiojiweza kila unapoweza/wiwa kufanya hivyo, Ongea na Mungu wako kwa swala/sala kila saa kila wakati.

Kwa kufanya hayo basi utakuwa umepiga hatua, umemkimbilia na Kumtumikia Mungu, kinyume na hapo shetani yupo karibu yako na niamini Mimi lazima atakutumikisha.

Je, shetani awezaje kumtumikisha mtu?

Shetani ndiye mfalme wa ulimwengu wa giza, yeye ana mawakala wengi sana (ambao tunaishi nao, tunafanya nao kazi, na hata kuwa nao katika mahusiano) lakini si rahisi kuwatambua, kwakua wale wanaojitambua kuwa ni mawakala wa shetani hujificha wasijulikane, na wale wasiojitambua wao hutumikishwa bila ya kujijua. Shetani huwatumikisha watu kwa kuwaweka kwenye vifungo vizito, vifungo hivi huwa ni tabia/mambo ambayo humfanya mtu akae mbali na Mungu.. mfano, shetani humtumikisha mtu kwa kumuweka kwenye kifungo cha ulevi, unakuta mtu ana kazi nzuri yenye kumpa kipato kizuri lakini Hana maendeleo, kwanini pesa yote anaimalizia kwenye vilevi, wengine huwafunga kwenye vifungo vya uzinzi, mda wa adhana ndio kwanza yupo gesti na mke/mume wa mtu, jumapili watu wanatoka kanisani misa ya kwanza yeye ndiyo anatoka gesti, hivyo ni baadhi ya vifungo ambavyo shetani huwafunga watu.

Soma kisa kifuatacho kiufupi, utaona namna shetani anakimbilia na kuwatumikisha watu ambao hawana msimamo thabiti wa kumkimbilia na Kumtumikia Mungu.

Kulikuwa na kijana mmoja, alikuwa ni kiongozi wa kwaya katika kanisa fulani, Mungu aliweka kipaji halisi cha uimbaji ndani ya huyu kijana, akampa na uwezo wa kutambua na kutumia kile kipawa chake.. Baada ya muda mfupi tu wa yule kijana kuiongoza ile kwaya basi kwaya ile ikapata umaarufu mkubwa sana ikaanza kurekodi nyimbo na video zao, ikaanza kupata mialiko ya kuuudumu katika majukwaa na mikesha mbalimbali ya kusifu na kuabudu.. sifa zikaanza kumwagika kichwani mwa yule kijana, shetani naye alivyo na hila akatumia mlango uleule wa sifa naye kuleta sifa zake ili kumuondoa yule kijana kwenye uwepo wa Mungu, basi kijana akaanza kujiona kuwa hayupo kama yeye, kiburi kikaanza kuinuka, majivuno yakaanza kumea na kustawi, tamaa nazo zikamuwaka.

Shetani hakuishia hapo, akatuma wakala wake kwenda kumpotosha yule kijana, shetani alimtuma mmoja ya wake za wazee wa kanisa kwenda kuangamiza huduma ya yule kijana, vishawishi vilianza taratibu, mwisho wa siku wakajikuta wakitenda dhambi ya uzinzi kwa Siri, ila Kwa kuwa Mungu ni mMwaminifu alituma ujumbe kwa yule kijana, kijana akapuuza akaendelea na tabia ya uzinzi, waswahili husema za mwizi arobaini, baada ya kuonywa na kufurahi sana katika zile 39 ilifika ya arobaini ambao juu ya kitanda walifumaniwa, kitendo cha kufumaniwa kilibadilisha kabisa upepo wa maisha wa yule kijana, licha ya kufumaniwa na kusamehewa lakini shetani akaweka moyo mgumu ndani yule kijana, akashindwa kujisamehe, mawazo yalipomjaa kichwani, shetani akapata nafasi nyingine tena akamvuta katika ulevi akimdanganya kuwa ataondoa mawazo lakini kumbe ni vifungo juu ya vifungo.. shetani hana huruma, yupo kazini jamani mpingeni kwa nguvu zenu zote na akili zenu zote na roho zenu.

Endapo shetani huwatumikisha walio upande wa Mungu wewe nani asiweze kukutumikisha? Jitafakari leo na umrudie Mungu wako yeye pekee ndiye awezaye kuyabadili maisha yako kikamilifu, kimwili, kiroho, kiakili.

Asante, niko hapa kusikiliza na kujibu maswali kutoka kwenu.
 
Upvote 7
IMANI. Hii nayo imegawanyika sehemu mbili, kwa Mungu kama ulivyosema na kwa shetani, pia kutegemeana na muhusika yuko upande gani.

Imani ina grade, au niseme kwa kiswahili ina ngazi, ukiwa vizuri kwa upande wa Mungu, mfano ukapenda kusoma biblia, kusikiliza nyimbo za Mungu ( gospel), na kushiriki mafundisho mengine kiwango cha imani cha mtu husika huongezeka, kinyume na hapo kiwango hudumaa.

Mfano. Wapo wenye viwango vya juu vya imani huona mambo mengi na makubwa ya kiroho ambayo mtu wa kawaida mwenye kiwango cha chini cha imani akihadithiwa hudhani ni uongo, wapo watu walikufa wakaiona pepo na wengine kuzimu, na bado wakarudi duniani, hawa wakihadithia wengine wenye imani haba hawaaminiwi, japo wasemacho ni kweli.

Roho wa Mungu akiishi ndani ya mtu na kujenga makao yake kwako, humuinua muhusika na kumuonesha mengi ambayo kwa hali ya kawaida ni vigumu mtu wa kawaida kuyaona, hii hutofautiana kati ya mmoja na mwingine kulingana na kiwango cha imani cha muhusika.

Lakini pia, hata kwa shetani, kiwango cha imani huweza kuongezeka kutegemeana na vile unavyozitenda kazi zake, kupenda anasa za dunia kwa ujumla (ngono, starehe kama pombe, sigara, kwenda kwa waganga nk) huzidi kumvuta mtu awe mtumwa wa dhambi na matokeo yake kuwa mfuasi kamili wa shetani anaekuza kiwango chake kwenye nguvu za giza anazoishi.
 
Badala ujibie hapa uongeze comments kwenye uzi wako unaenda kujibia kwa uzi wa mwingine, wewe ni mweupe mno kichwani, hope umejifunza uzito wa uliekuwa unajaribu kubishana nae kwa kutumia "roho wako".
 
IMANI. Hii nayo imegawanyika sehemu mbili, kwa Mungu kama ulivyosema na kwa shetani, pia kutegemeana na muhusika yuko upande gani.

Imani ina grade, au niseme kwa kiswahili ina ngazi, ukiwa vizuri kwa upande wa Mungu, mfano ukapenda kusoma biblia, kusikiliza nyimbo za Mungu ( gospel), na kushiriki mafundisho mengine kiwango cha imani cha mtu husika huongezeka, kinyume na hapo kiwango hudumaa.

Mfano. Wapo wenye viwango vya juu vya imani huona mambo mengi na makubwa ya kiroho ambayo mtu wa kawaida mwenye kiwango cha chini cha imani akihadithiwa hudhani ni uongo, wapo watu walikufa wakaiona pepo na wengine kuzimu, na bado wakarudi duniani, hawa wakihadithia wengine wenye imani haba hawaaminiwi, japo wasemacho ni kweli.

Roho wa Mungu akiishi ndani ya mtu na kujenga makao yake kwako, humuinua muhusika na kumuonesha mengi ambayo kwa hali ya kawaida ni vigumu mtu wa kawaida kuyaona, hii hutofautiana kati ya mmoja na mwingine kulingana na kiwango cha imani cha muhusika.

Lakini pia, hata kwa shetani, kiwango cha imani huweza kuongezeka kutegemeana na vile unavyozitenda kazi zake, kupenda anasa za dunia kwa ujumla (ngono, starehe kama pombe, sigara, kwenda kwa waganga nk) huzidi kumvuta mtu awe mtumwa wa dhambi na matokeo yake kuwa mfuasi kamili wa shetani anaekuza kiwango chake kwenye nguvu za giza anazoishi.
Hahahahahah.

Hapa Hakuna ulichoeleza cha maana, umeonyesha ujinga na upumbavu wako katika masuala ya imani.

Yaani kwanza nilitegemea Kama walau ungekua mtu ambae umewahi kutumiwa/Mungu anakutumia currently ungejua kuwa hii ni basics ya Kumuongoa Mtu toka kwenye giza/usingizi wa Kiimani.. Sikuwepo hapa kuanza kufundisha namna ya kukua kiimani.

Ok, let's try this way.. unategemea kukua kiimani kwa kusikiliza Gospel? Sikiliza maana Kama kusikiliza tu sikiliza mpaka ngoma zitoboke.. nakuhakikishia utabaki umedumaa kiroho (same to you)

Bila shaka wewe ndiwe mmoja wa wale ambao mnazo Biblia na huzisoma kama gazeti, leo nitakufundisha kuisoma na kuielewa and to bring those verses into real life kwa spiritual meditation.

Kwanza kabisa Naamini ni mtumiaji wa Biblia (regardless unasali wapi) si ndio?
 
Hahahahahah.

Hapa Hakuna ulichoeleza cha maana, umeonyesha ujinga na upumbavu wako katika masuala ya imani.

Yaani kwanza nilitegemea Kama walau ungekua mtu ambae umewahi kutumiwa/Mungu anakutumia currently ungejua kuwa hii ni basics ya Kumuongoa Mtu toka kwenye giza/usingizi wa Kiimani.. Sikuwepo hapa kuanza kufundisha namna ya kukua kiimani.

Ok, let's try this way.. unategemea kukua kiimani kwa kusikiliza Gospel? Sikiliza maana Kama kusikiliza tu sikiliza mpaka ngoma zitoboke.. nakuhakikishia utabaki umedumaa kiroho (same to you)

Bila shaka wewe ndiwe mmoja wa wale ambao mnazo Biblia na huzisoma kama gazeti, leo nitakufundisha kuisoma na kuielewa and to bring those verses into real life kwa spiritual meditation.

Kwanza kabisa Naamini ni mtumiaji wa Biblia (regardless unasali wapi) si ndio?
Nimekuwekea mbinu nyingi nakushangaa unakomalia hiyo moja tu, punguza ujuaji, biblia ninayo na naisoma, nielewe, usinilazimishe unachotaka ili ujiridhishe, huyo "roho wako" hawezi kuniongoza mimi.
 
Nimekuwekea mbinu nyingi nakushangaa unakomalia hiyo moja tu, punguza ujuaji, biblia ninayo na naisoma, nielewe, usinilazimishe unachotaka ili ujiridhishe, huyo "roho wako" hawezi kuniongoza mimi.
Sio roho wangu.. Unafeli.. Hakuna sehemu nimesema roho wangu.. mbona unakua na fikra "mkwamo" kama dada yangu mama amon.. hahahaha.

Let's go deep down..

Sihitaji kujua hata Kama Mungu amewahi kuachilia Maelekezo yoyote kwako ila Mimi na wewe tupo hapa kwaajili ya kufundishana, hapo juu tumemsaidia mtu kutoka kwenye giza kuja kwenye nuru.

Umekuja ukajaribu kutueleza namna ya kukua kiimani.
1.Kusoma Biblia
2.Kuimba Gospel
3.Kuudhuria mafundisho mbalimbali..

Je nikifanya hayo uliyoyasema hapo juu nitakuwa nimekua kiimani? Au kuna mambo mengine yanaweza kunikuza kiimani kwa uharaka zaidi ya hayo? Kama yapo unaweza kutufundisha pia kwa faida ya wote?

Na mwisho unafahamu umuhimu wa kumtolea Mungu sadaka, na je kuna uhusiano gani kati ya kutoa sadaka na kukua kiimani..

NB. Tufundishe kwa faida ya sote tusomao nyuzi hii, inaweza saidia mamia ya watu na ikahesabika faida kwako

Zaburi 98:4
"Mshangilieni BWANA, nchi yote,
Inueni sauti, imbeni kwa furaha, imbeni zaburi."
 
Sio roho wangu.. Unafeli.. Hakuna sehemu nimesema roho wangu.. mbona unakua na fikra "mkwamo" kama dada yangu mama amon.. hahahaha.

Let's go deep down..

Sihitaji kujua hata Kama Mungu amewahi kuachilia Maelekezo yoyote kwako ila Mimi na wewe tupo hapa kwaajili ya kufundishana, hapo juu tumemsaidia mtu kutoka kwenye giza kuja kwenye nuru.

Umekuja ukajaribu kutueleza namna ya kukua kiimani.
1.Kusoma Biblia
2.Kuimba Gospel
3.Kuudhuria mafundisho mbalimbali..

Je nikifanya hayo uliyoyasema hapo juu nitakuwa nimekua kiimani? Au kuna mambo mengine yanaweza kunikuza kiimani kwa uharaka zaidi ya hayo? Kama yapo unaweza kutufundisha pia kwa faida ya wote?

Na mwisho unafahamu umuhimu wa kumtolea Mungu sadaka, na je kuna uhusiano gani kati ya kutoa sadaka na kukua kiimani..

NB. Tufundishe kwa faida ya sote tusomao nyuzi hii, inaweza saidia mamia ya watu na ikahesabika faida kwako

Zaburi 98:4
"Mshangilieni BWANA, nchi yote,
Inueni sauti, imbeni kwa furaha, imbeni zaburi."
Yes, ni "roho wako" anaekupa ujuaji ambae kimsingi mimi simjui, kuja na habari za intelijensia yako ya rohoni iko juu is nothing more than kujikweza, ndio maana nakwambia huyo "roho wako" anaekufundisha hayo mimi sina habari nae.

Imani ni viwango na kila mmoja ana kiwango chake cha imani kulingana na mafundisho yake, na alipofikia kwenye mafundisho husika, au anavyomtafuta Mungu wake kwa kuomba na kusali, kuabudu nk.

Kujitutumua ili uonekane mjuaji ni ushamba, navyojua mkristu anatakiwa awe mnyenyekevu, asiepandisha mabega juu kama ufanyavyo/semavyo, wapo kina Elia waliokuwa na viwango vya juu wakanyakuliwa mawinguni, wewe ni nani unaejidai na hizi HAKI zako za ulimwenguni?

Yesu Kristo hakuja kwa wenye haki kama wewe mnaojitutumua, alikuja kwa wenye dhambi wasiojikweza. Ndio maana nimekuona mshamba from the first step ulivyoanza na "intelijensia" yako ya roho iko juu.

Habari ya nyimbo niliyokuandikia ni kweli, ukitaka kuipinga, pinga tu kwa ujuaji wako, nimeshakusoma, lakini kupitia mafundisho ya wimbo unaweza kujifunza kumjua Mungu kwa kuliimba, kulitukuza, na kulisifu jina lake, hapa ukiwa umemaanisha kutoka moyoni.

Nikwambie kitu, imani ina matawi au niseme ina channels, na vile watu waliponywa na Yesu Kristu ilitegemeana na imani yao waliiweka wapi kwake, wapo walioamini jina, wapo walioamini mtu mwenye jina husika, na wapo walioamini uwepo wake tu mahali fulani wakaponywa kwa imani yao bila hata kumuona.

- Vipo mpaka vivuli vya akina Petro viliwaponya watu.

- Nguo ya Elia ambayo Elisha aliamua kubaki nayo baada ya Elia kupaa mawinguni.

Ndivyo ilivyo kwa namna nilivyokuambia kuhusu imani, unaweza kuikuza kwa kuimba nyimbo za kuabudu, kusali na kuomba, kusoma biblia, ukipenda unaweza kutoa sadaka kama unavyoamini wewe ( sijui unadhani ukitoa kikubwa ndio imani yako inaongezeka) au kwa asie na chakutoa yeye afanyeje kwa huu mtazamo wako.

But sadaka umtolee Mungu kwa kuwasaidia wasiojiweza, na utoe mpaka tone la mwisho ile yenye kuumiza kama umeamua kuwekeza imani yako kwenye sadaka. Petro kwenye Wakorintho anatuasa kwa mkristu kuwa na chakula na mavazi yatosha, mengine yote ni kama mavi, hata malazi sio Yesu anaposema mwana wa Adamu hana pa kuegesha kichwa.

Buy yote hayo yanakuza imani ya muhusika kulingana na alipoweka matumaini yake. Nilivyoorodhesha awali vilikuwa ni baadhi tu, sikuandika vyote kwasababu ya muda na nafasi.

But kuniambia kimojawapo kinakuza imani kwa haraka zaidi ya kingine hapo panahitajika proof ambayo sio rahisi unachokiwaza wewe au kuki experience nami niki experience pia, hili ni jambo lililoko ndani yako zaidi kutegemeana na kile unachofunguliwa na roho wako.

Napenda nikuage kwa wimbo wa Christina Shusho, Bwana Umenichunguza, yale ni maneno ya kwenye Zaburi yaliyowekwa kwa njia ya wimbo, sikiliza huo wimbo ukipenda ujifunze unyenyekevu mbele za Mungu wako, na mbele za watu.

Gud day.
 
Yes, ni "roho wako" anaekupa ujuaji ambae kimsingi mimi simjui, kuja na habari za intelijensia yako ya rohoni iko juu is nothing more than kujikweza, ndio maana nakwambia huyo "roho wako" anaekufundisha hayo mimi sina habari nae.

Imani ni viwango na kila mmoja ana kiwango chake cha imani kulingana na mafundisho yake na alipofikia kwenye mafundisho husika.

Kujitutumua ili uonekane mjuaji ni ushamba, navyojua mkristu anatakiwa awe mnyenyekevu, asiepandisha mabega juu kama ufanyavyo/semavyo, wapo kina Elia waliokuwa na viwango vya juu wakanyakuliwa mawinguni, wewe ni nani unaejidai na hizi HAKI zako za ulimwenguni?

Yesu Kristo hakuja kwa wenye haki kama wewe mnaojitutumua, alikuja kwa wenye dhambi wasiojikweza. Ndio maana nimekuona mshamba from the first step ulivyoanza na "intelijensia" yako ya roho.

Habari ya nyimbo niliyokuandikia ni kweli, ukitaka kuipinga, pinga tu kwa ujuaji wako, nimeshakusoma, lakini kupitia mafundisho ya wimbo unaweza kujifunza kumjua Mungu kwa kuliimba na kulitukuza jina lake, hapa ukiwa umemaanisha kutoka moyoni.

Nikwambie kitu, imani ina matawi au niseme ina channels, na vile watu waliponywa kwa jina la Yesu Kristu ilitegemeana na imani yao iko wapi, wapo walioamini jina, wapo walioamini mtu mwenye jina husika, na wapo walioamini uwepo wake tu mahali fulani wakaponywa kwa imani yao hata bila kumuona.

Ndivyo ilivyo kwa namna nilivyokuambia kuhusu imani, unaweza kuikuza kwa kuimba nyimbo za kuabudu, kusali na kuomba, kusoma biblia, ukipenda unaweza kutoa sadaka kama unavyoamini wewe ( sijui unadhani ukitoa kikubwa ndio imani yako inaongezeka) but yote hayo yanakuza imani ya muhusika kulingana na alipoweka matumaini yake.

But kuniambia kimojawapo kinakuza imani kwa haraka zaidi ya kingine hapo panahitajika proof ambayo sio rahisi unachokiwaza wewe au kuki experience nami niki experience pia, hili ni jambo lililoko ndani yako zaidi kutegemeana na kile unachofungulia na roho wako.

Napenda nikuage kwa wimbo wa Christina Shusho, Bwana Umenichunguza, yale ni maneno ya kwenye Zaburi yaliyowekwa kwa njia ya wimbo, sikiliza huo wimbo ukipenda ujifunze unyenyekevu mbele za Mungu wako, na mbele za watu.

Gud day.
Hahahahahah

Huna lolote bwana mdogo, kuiishi imani sio wepesi kama kukaa happy kwenye sofa la "bimkubwa" wako na kutype vitu ambavyo havina muelekeo wa Kimungu kama ufanyavyo.. wewe endelea kusikiliza Gospel Huku ukisubiri viwango vyako vya imani vipande, leo sikiliza "Dunia Haina Huruma".. Hahahahah, unafurahisha sana.

Mimi nikushauri tu, kwamaana sote mbele za Mungu tu sawa (kwasababu ya Roho ya uhai aliyotupa) LAKINI namna anavyotutumia kamwe hatulingani, Wewe kama unataka kufaidi yaliyo ya Mungu basi huna budi Kumtafuta Mungu kwanza kwa Moyo, Akili, na Nguvu yako yote.

Sio kuja kuleta ujuaji eti "Roho wako" hahahaha "Roho ni wa Bwana pekee" hiyo mingine ni mizimu ya kwenu, ambayo inakusumbua na sisi tulioivaa tunawajua watoto kama nyie, wengi wenu mmekaa kimajaribu na mitego..

Mungu Aturehemu sawasawa na Fadhili zake.
 
Hahahahahah

Huna lolote bwana mdogo, kuiishi imani sio wepesi kama kukaa happy kwenye sofa la "bimkubwa" wako na kutype vitu ambavyo havina muelekeo wa Kimungu kama ufanyavyo.. wewe endelea kusikiliza Gospel Huku ukisubiri viwango vyako vya imani vipande, leo sikiliza "Dunia Haina Huruma".. Hahahahah, unafurahisha sana.

Mimi nikushauri tu, kwamaana sote mbele za Mungu tu sawa (kwasababu ya Roho ya uhai aliyotupa) LAKINI namna anavyotutumia kamwe hatulingani, Wewe kama unataka kufaidi yaliyo ya Mungu basi huna budi Kumtafuta Mungu kwanza kwa Moyo, Akili, na Nguvu yako yote.

Sio kuja kuleta ujuaji eti "Roho wako" hahahaha "Roho ni wa Bwana pekee" hiyo mingine ni mizimu ya kwenu, ambayo inakusumbua na sisi tulioivaa tunawajua watoto kama nyie, wengi wenu mmekaa kimajaribu na mitego..

Mungu Aturehemu sawasawa na Fadhili zake.
Umeshahamia kwa bimkubwa tena, wimbo wa Shusho huo usikilize ukipenda utakuokoa, ukiendelea kuwa na kichwa kikubwa utaangamia kwa kukosa maarifa.

Biblia imeniambia kupitia Kristu niyaulize maswali hayo maroho yako ya kujikweza, naona umeshakuwa mdogo, mwanzo ulikuja kwa mikwara kama tembo, now nimekuficha kwenye ngumi yangu ya mkono wa kushoto.

Kumtafuta Mungu kwa roho, akili, na nguvu zake zote, sidhani kama unaelewa maana ya hayo maneno zaidi ya kuandika ujichekeleshe kama kawaida yako, next time ujue kuna watu wasiopenda mikwara ya kutishia wasiojua mtaani, bye.
 
Umeshahamia kwa bimkubwa tena, wimbo wa Shusho huo usikilize ukipenda utakuokoa, ukiendelea kuwa na kichwa kikubwa utaangamia kwa kukosa maarifa.

Biblia imeniambia kupitia Kristu niyaulize maswali hayo maroho yako ya kujikweza, naona umeshakuwa mdogo, mwanzo ulikuja kwa mikwara kama tembo, now nimekuficha kwenye ngumi yangu ya mkono wa kushoto.

Kumtafuta Mungu kwa roho, akili, na nguvu zake zote, sidhani kama unaelewa maana ya hayo maneno zaidi ya kuandika ujichekeleshe kama kawaida yako, next time ujue kuna watu wasiopenda mikwara ya kutishia wasiojua mtaani, bye.
Hahahahahah, eti "niyaulize maswali" bila shaka hata hicho kifungu hukijui na wala matumizi yake huyajui pia..

Mimi sikuhitaji kukuuliza wewe maswali, ila nilishapewa taarifa zako na ndio maana mapema nikakupa ujumbe wako.

"Kumtafuta Mungu kwa Roho yako, nguvu zako na akili zako zote".. Hapa kwakweli naomba unielekeze maana yake Mimi siijui.
 
Hahahahahah, eti "niyaulize maswali" bila shaka hata hicho kifungu hukijui na wala matumizi yake huyajui pia..

Mimi sikuhitaji kukuuliza wewe maswali, ila nilishapewa taarifa zako na ndio maana mapema nikakupa ujumbe wako.

"Kumtafuta Mungu kwa Roho yako, nguvu zako na akili zako zote".. Hapa kwakweli naomba unielekeze maana yake Mimi siijui.
Ningekuwa sikijui hicho kifungu ningekuandikia hapa? yaani niandike kitu kisichokuwepo!

My problem is sina kichwa kikubwa kama chako kujitutumua kama wewe, nimeamua kukupa vitu juu juu coz hata kujifunza hutaki zaidi ya kujitutumua tu, umepitwa na wakati hiyo style yako kwangu ni ya kishamba sana blv me.

Hayo maneno niliyoweka hapo; "Roho yako, Nguvu zako, na akili zako" nayaelewa vizuri, but sitaki kupoteza muda wangu kwa mtu asietaka kukiri udhaifu wake uliowazi, nitakuwa najichosha bure.

- Hapa soma Mathayo 7:6, huna tofauti na mbwa au nguruwe, siwezi kukupa kitakatifu utakikanyaga, japo am sorry ila ndio ukweli unaoustahili ili ujifunze.

Najua utapinga na hiki nilichoandika, kwa tabia yako nimeshajua your psychollogy unajichekelesha kutafuta amani ya uongo ya moyo, nikuone uko sawa, but you are not, ukweli huchoma but vumilia.

I know my ability, and am not here to satisfy your arrogance, stay as u are japo kazi yangu kwako nilishaimaliza, uache kujikweza huna chochote cha maana.
 
Ningekuwa sikijui hicho kifungu ningekuandikia hapa? yaani niandike kitu kisichokuwepo!

My problem is sina kichwa kikubwa kama chako kujitutumua kama wewe, nimeamua kukupa vitu juu juu coz hata kujifunza hutaki zaidi ya kujitutumua tu, umepitwa na wakati hiyo style yako kwangu ni ya kishamba sana blv me.

Hayo maneno niliyoweka hapo; "Roho yako, Nguvu zako, na akili zako" nayaelewa vizuri, but sitaki kupoteza muda wangu kwa mtu asietaka kukiri udhaifu wake uliowazi, nitakuwa najichosha bure.

- Hapa soma Mathayo 7:6, huna tofauti na mbwa au nguruwe, siwezi kukupa kitakatifu, japo am sorry ila ndio ukweli unaoustahili ili ujifunze.

Najua utapinga na hiki nilichoandika, kwa tabia yako nimeshajua your psychollogy unajichekelesha kutafuta amani ya uongo ya moyo, nikuone uko sawa, but you are not, ukweli huchoma but vumilia.

I know my ability, and am not here to satisfy your arrogance, stay as u are japo kazi yangu kwako nilishaimaliza, uache kujikweza huna chochote cha maana.
Hahahahaha

Ila we mtu unafurahisha sana. Eti "kazi yangu kwako nishaimaliza", kazi gani hiyo mbona Mimi sijaiona? Au kuja kusema TUSIKILIZE GOSPEL tukue kiroho Hahahahahah..

Watu wanakesha milimani huko wakifunga na kujitaabisha kusudi Kumpendeza Mungu waipate nafasi ya kuurithi ufalme wa mbinguni, Eti wewe ukae hapo sebuleni kwenu usikilize tu "Nibebe nibebeee" ukue kiroho?

Utasubiri Sana, Anza kwanza kwa kulisoma neno la Mungu.. sio blah blah hizo, udananda huo
 
Habari ewe mwanadamu.
Ninamshukuru Mungu kwaajili yako, pole pia kama upo katika magumu yoyote kwa fikra na macho ya kibinaadamu.

Moja kwa moja niende kwenye kusudi la kuanzisha nyuzi hii ambayo naamini endapo utaisoma vyema na kuitendea kazi kazi basi utayaona Mabadiliko kwenye maisha yako.

Hapa ulimwenguni kuna mambo mengi sana ambayo kwa ujumla wake yanaendeshwa na nguvu ya IMANI, nguvu hii kiimani imegawanyika katika sehemu kubwa mbili, Mosi nguvu ya nuru (Upande wa Mungu) na Pili nguvu ya giza (Upande wa shetani). Yeyote awaye mwanadamu ana Uhuru wa kuchagua upande atakao, lakini Mimi leo hi nitakuelekeza namna unavyoweza kufanya Mabadiliko ya kudumu kwenye maisha yako na ya wengine kwa kuifuata nguvu ya nuru.

Licha ya mwanadamu kuwa na Uhuru wa kuchagua upande wa kuutumikia, hakuna mwanadamu awezaye kuchagua kuzitumikia pande zote mbili, kimwili unaweza ukaamua kuchagua upande wa nuru lakini kiroho ukawa unatumia upande wa giza kufanikisha mambo yako (Hapa ni wazi wewe Huna nafasi kwa Mungu, ila kwa shetani umepewa cheo kikubwa). Ili uutumikie upande wa Nuru, yakupasa kufanya maamuzi lakini ili uutumikie upande wa giza bila hata maamuzi yako unaweza.

Mungu hupenda watu wote Wamjue na Kumtumikia yeye lakini Hawalazimishi, shetani hufanya kila awezalo (anakulazimisha) utumikie yeye. Hivyo Basi kwakua Mungu Hamlazimishi mtu inakupasa wewe mwanadamu kuwa tayari, kwa moyo wa dhati kuamua Kumtumikia yeye, na endapo utaamua toka ndani yako nikuhakikishie Mungu yupo naye Huonekana na Kuwajibu wote Wamtafutao.

Shetani kikawaida hunyemelea sana wale ambao hawajafanya maamuzi ya kwenda kwenye nuru, huwavuta kwake kwa vitu mbalimbali, anasa za maisha, itikadi na misimamo, uzinzi, bidhaa za matumizi n.k Lakini mtu anapofanya maamuzi ya Kumtumikia Mungu, Basi Mungu humlinda kusudi shetani asiweze kumshurutisha mtu na kumtumikisha huyo kupitia baadhi ya mambo tajwa hapo juu.

Je, Ninawezaje Kumtumikia Mungu?
Mungu yupo tayari kwaajili ya wote Wamtafutao, hivyo hatua ya Kwanza yakupasa kuazimia toka ndani ya nafsi yako kuwa "Nitamtafuta na Kumtumikia Mungu" baada ya hapo fanya toba, Muombe Mungu akusamehe makosa yako, haijalishi umekua mzinzi, mlevi, mwizi, muuaji, au hata mchawi kwa muda gani na umefanya mabaya mangapi punde tu utakapo amua kwa dhati kumrudia Mungu, basi atakusamehe na Kukukaribisha nyumbani mwake. (Toba sio kwaajili ya dini, Bali toba ni kumpa Mungu nafasi ya kuingilia kati matatizo yako na kujenga uhusiano binafsi na yeye).

Ukishafanya toba, unatakiwa kupiga hatua sasa kwa kutoyarudia yale ambayo yalikuzuia Kumtumikia Mungu, Kama ni ulevi jizuie usiguse wala kutumia vilevi, kama ni uzinzi jitahidi basi kujiweka mbali na vile vichagizo vilivyokuwa vinakuhamasisha kuzini, na kama ni uchawi choma moto kila zana (Kama unaogopa peleka sehemu unapoabudia kulingana na dini yako, na kama huna pa kuabudia lakini umeeazimia kuacha basi omba msaada kwa kiongozi yoyote wa dini yoyote aliye karibu nawe).

Baada ya kuweka jitihada za kutorudia tena, Sasa jikite kwenye kutenda mambo mema na ya Kumpendeza Mungu, Mtumaini na Kumtegemea yeye katika kila Jambo, saidia wasiojiweza kila unapoweza/wiwa kufanya hivyo, Ongea na Mungu wako kwa swala/sala kila saa kila wakati.

Kwa kufanya hayo basi utakuwa umepiga hatua, umemkimbilia na Kumtumikia Mungu, kinyume na hapo shetani yupo karibu yako na niamini Mimi lazima atakutumikisha.

Je, shetani awezaje kumtumikisha mtu?

Shetani ndiye mfalme wa ulimwengu wa giza, yeye ana mawakala wengi sana (ambao tunaishi nao, tunafanya nao kazi, na hata kuwa nao katika mahusiano) lakini si rahisi kuwatambua, kwakua wale wanaojitambua kuwa ni mawakala wa shetani hujificha wasijulikane, na wale wasiojitambua wao hutumikishwa bila ya kujijua. Shetani huwatumikisha watu kwa kuwaweka kwenye vifungo vizito, vifungo hivi huwa ni tabia/mambo ambayo humfanya mtu akae mbali na Mungu.. mfano, shetani humtumikisha mtu kwa kumuweka kwenye kifungo cha ulevi, unakuta mtu ana kazi nzuri yenye kumpa kipato kizuri lakini Hana maendeleo, kwanini pesa yote anaimalizia kwenye vilevi, wengine huwafunga kwenye vifungo vya uzinzi, mda wa adhana ndio kwanza yupo gesti na mke/mume wa mtu, jumapili watu wanatoka kanisani misa ya kwanza yeye ndiyo anatoka gesti, hivyo ni baadhi ya vifungo ambavyo shetani huwafunga watu.

Soma kisa kifuatacho kiufupi, utaona namna shetani anakimbilia na kuwatumikisha watu ambao hawana msimamo thabiti wa kumkimbilia na Kumtumikia Mungu.

Kulikuwa na kijana mmoja, alikuwa ni kiongozi wa kwaya katika kanisa fulani, Mungu aliweka kipaji halisi cha uimbaji ndani ya huyu kijana, akampa na uwezo wa kutambua na kutumia kile kipawa chake.. Baada ya muda mfupi tu wa yule kijana kuiongoza ile kwaya basi kwaya ile ikapata umaarufu mkubwa sana ikaanza kurekodi nyimbo na video zao, ikaanza kupata mialiko ya kuuudumu katika majukwaa na mikesha mbalimbali ya kusifu na kuabudu.. sifa zikaanza kumwagika kichwani mwa yule kijana, shetani naye alivyo na hila akatumia mlango uleule wa sifa naye kuleta sifa zake ili kumuondoa yule kijana kwenye uwepo wa Mungu, basi kijana akaanza kujiona kuwa hayupo kama yeye, kiburi kikaanza kuinuka, majivuno yakaanza kumea na kustawi, tamaa nazo zikamuwaka.

Shetani hakuishia hapo, akatuma wakala wake kwenda kumpotosha yule kijana, shetani alimtuma mmoja ya wake za wazee wa kanisa kwenda kuangamiza huduma ya yule kijana, vishawishi vilianza taratibu, mwisho wa siku wakajikuta wakitenda dhambi ya uzinzi kwa Siri, ila Kwa kuwa Mungu ni mMwaminifu alituma ujumbe kwa yule kijana, kijana akapuuza akaendelea na tabia ya uzinzi, waswahili husema za mwizi arobaini, baada ya kuonywa na kufurahi sana katika zile 39 ilifika ya arobaini ambao juu ya kitanda walifumaniwa, kitendo cha kufumaniwa kilibadilisha kabisa upepo wa maisha wa yule kijana, licha ya kufumaniwa na kusamehewa lakini shetani akaweka moyo mgumu ndani yule kijana, akashindwa kujisamehe, mawazo yalipomjaa kichwani, shetani akapata nafasi nyingine tena akamvuta katika ulevi akimdanganya kuwa ataondoa mawazo lakini kumbe ni vifungo juu ya vifungo.. shetani hana huruma, yupo kazini jamani mpingeni kwa nguvu zenu zote na akili zenu zote na roho zenu.

Endapo shetani huwatumikisha walio upande wa Mungu wewe nani asiweze kukutumikisha? Jitafakari leo na umrudie Mungu wako yeye pekee ndiye awezaye kuyabadili maisha yako kikamilifu, kimwili, kiroho, kiakili.

Asante, niko hapa kusikiliza na kujibu maswali kutoka kwenu.
Sioni haya kwa Bwana, kwake NITANG'ARA.


SIIONEI HAYA INJINI.....
 
Hahahahahah

Huna lolote bwana mdogo, kuiishi imani sio wepesi kama kukaa happy kwenye sofa la "bimkubwa" wako na kutype vitu ambavyo havina muelekeo wa Kimungu kama ufanyavyo.. wewe endelea kusikiliza Gospel Huku ukisubiri viwango vyako vya imani vipande, leo sikiliza "Dunia Haina Huruma".. Hahahahah, unafurahisha sana.

Mimi nikushauri tu, kwamaana sote mbele za Mungu tu sawa (kwasababu ya Roho ya uhai aliyotupa) LAKINI namna anavyotutumia kamwe hatulingani, Wewe kama unataka kufaidi yaliyo ya Mungu basi huna budi Kumtafuta Mungu kwanza kwa Moyo, Akili, na Nguvu yako yote.

Sio kuja kuleta ujuaji eti "Roho wako" hahahaha "Roho ni wa Bwana pekee" hiyo mingine ni mizimu ya kwenu, ambayo inakusumbua na sisi tulioivaa tunawajua watoto kama nyie, wengi wenu mmekaa kimajaribu na mitego..

Mungu Aturehemu sawasawa na Fadhili zake.
We Bwana nna mashaka ya ni hiyo unayoiita Imani yako.Maana sio kwa mipasho hiyo[emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom