Usipuuzie past ya mwanamke

Maneno mengi ya nini? Huna bikra ujue ni malaya mbwa, full stop.
Na wenye bikra mnaowaoa wanaenda kuvigawa humo humo kwenye ndoa😂

Malaya wakiongozwa na mama ako kwani nae alikuzaa akiwa Bikra?
 
Ya kwangu umejuaje kama ya mamako huyajui? Mxieww
Kwani nimesema kuwa wewe siyo bikra? Nimesema kama unajijua siyo bikra na hujaolewa basi ni Malaya, bikra inatakiwa itolewe na mume. Sasa unakuwa mkali kwanini, au ndo ukieusha jiwe gizani atayelia ndo aliyepigwq na jiwe?
 
Ndo nini hiyo?
Ni kutoka kwenye movie ya The Matrix ambapo main character "Neo" anaambiwa na "Morpheus" Mentor wake, achagua kati ya Bluepill abaki na ujinga wake kuhusu ulimwengu au achague Redpill ili aone uhalisa na ukweli mchungu wa ulimwengu wake.

The Internet na men self-improvement community ikachukua huo msemo, na kugeuza maana yake kuwa Redpilled ni kuwa Mwanaume wa kujitegemea na kufocus kwenye maisha yako, ndoto zako na goals zako. Ikiwemo kutopelekeshwa na wanawake au kuwa zoba kivyovyote. Ni kujifurahisha wewe mwanaume kama wewe.

Na Bluepill kinyume chake yaani, ni kuwa mjinga, kuwa "Simp" msemo maarufu kwenye Self-improvement community. Yaani kushobokea wanawake na kutumiwa kama mpuuzi huku maisha yako yakiteketea. Kuna Blackpill vilevile.

Haya ni mambo ya vijana dunia nzima, au wanaita Gen-Z. Naona ambassadors wao wamefika na huku JF.
 
Sio ya mwanamke tu hata ya mwanaume


Cc Smart911
Ya mwanaume haina shida sana labda kama alikua upinde hapo ndipo itakua fedhea kwa mkewe mtarajiwa.

Mwanaume anaoa kwa kuangalia past ya mwanamke na mwanamke anaolewa kwa kuangalia present and future ya mwanaume.
 
Ok ahsante
 
Yaani huu ujumbe nimeu bookmark kabisa. Huu utakuwa na kazi ya kuniongezea machungu ya kuwachukia wanawake
 
Qmmqo😬
Mi nawaona sana, ubahili wa kichaga ni wa maendeleo, unaona Kabisa kaficha hela kafanyia kitu fulani, ubahili wa wapare ni wa kipumbavu Kabisa, haendelei, hapendezi, anakula makande kila siku, anaweza akafa na milioni ndani kwasababu ya kuona ubahili wa kununua dawa ya elfu kumi. Pia wanapenda kugongea vya watu ili vyao wavifiche, kwa upande wa wanawake nao ni ovyo, wanapenda bata za kutwgemea pesa ya wanaume, afu wengine ni Malaya mbwa.
 
Shangazi Jiheshimu
 
Mtoto wako mbona mweusi kama mkaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…