Usipuuzie past ya mwanamke

Sawa sawa mwanasaikolojia., vipi lihabilitation centre yako ipo wapi tuje kupata huduma.
Kijana jana ajira za fani mbalimbali zimetoka nyingi tu, soma tangazo vzr, jisajili ajiraportal na documents zilizothibitishwa na wakili, kisha aomba ajira, pengine watakuchagua.
 
Jadda soma hapa, ni wawili ndo wanakubaliana kufanya tendo, siyo mwanaume pekee. So kutia ili tupooze nyege tutaendelea kuwatia msio na bikra ila wenye bikra ndo inashauriwa tuwaoe, na nashauri wanaume wote, ukikuta bikra afu unajua hutomuoa, tafadhali usimle, huyo ni wife material.

Lakini kumnyandua asiye Bikra ni kawaida haina shida, kwani ana thamani gani tena mpaka nimnyenyekee. Maandiko yenyewe yalisema tuoe bikra kwa upande wa mwanamke, upande wa mwanaume hawakutoa sharti.
 
Sema mwamba wewe ni genius kinoma....

Yaani nimesoma huku natabasamu hiyo ngeli imenyooka mno..

Mkuu kama upo dasalam sogea gomzi hapa kuna zawadi yako aiseeeee
 
Sio nyege tu hata tamaa ya kuishi luxury life style wakati uwezo mdogo ni tatizo pia.
 
Kijana jana ajira za fani mbalimbali zimetoka nyingi tu, soma tangazo vzr, jisajili ajiraportal na documents zilizothibitishwa na wakili, kisha aomba ajira, pengine watakuchagua.
Nimeziona mkuu ila nilishafungia vyeti kabatini nikaachana na suala la ajira
 
Uyo ulem-tag akija hapa hamtamalizana leo.
 
Ujue kuna mtu mmoja anaitwa FLOYD MONEY MAYWEATHER anakwambia presha ya maisha ikiongezeka ndivyo anavyo perform kwa ubora zaidi kwa hiyo yeye anasema muongezeeni presha na anaomba maadui wengi zaidi.
Maji yamoto yanachemsha yai linakuwa gumu ila viazi vinalainika na kuwa teketeke.

Kwa hiyo past yako inaweza kukujenga au kukubomoa inategemea na mtu mwenyewe
 

haya kwa wale mabwege mtozeni kama mie anachosema jamaa hapa ni kwamba wanawake ni chombo cha starehe wewe gegeda tuu.
Evelyn Salt kama nimekosea rekebisha
 
Sasa unaenda kupiga mechi kabla hujaoa na unataka yeye umkute bikra? Una utindio? Kwahiyo hao waliotolewa bikra walizitoa wenyewe? Wanaume wengine mnaenda kulala na wanawake mnawajaza mikosi baada ya kuonja onja punani zaidi ya 20 mnabeba kila aina ya mapepo mnaenda kuwabebesha wengine, who will judge you for that?
 
Utakuja kupata mke mbaya atakaekutesa maisha yako yote
Yaani anguko lako litakuwa ni mwanamke
Hutokaa upate furaha yoyote kutoka kwa mwanamke anzia Leo.hata awe binti yako
Nakulaani anzia Leo kwa niaba ya kizazi chote cha mwanamke.
Mark my words.
Labda usiambatane na mwanamke yoyote
 
Naiombea hii laana yako impate kwa vizazi vyake vyote. Hata akipata huyo mwanamke bikra aje amuue kwa ukimwi
 
Uyo Maywether hayo maelezo yake hawaongelei wanawake anaongelea biashara ambayo anaingiza maokoto. Kama unafikiri hauwezi kuwa self motivated bila mwanamke kukupa presha basi unatakiwa kubadilisha mawazo, a woman's loyalty is to her feelings not your sacrifice, the day she feel another man is better than you she will switch allegiance
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…