Usirogwe ukamshirikisha Diamond kwenye ngoma yako

Usirogwe ukamshirikisha Diamond kwenye ngoma yako

Jamaa anajitambua hataki ushindan wa kijinga jinga usio na manufaa
Jux ni mmoja wa wasanii wa Tanzania wenye akili sana na hapendi kuweka au kuwekewa pingamizi akitaka kufanya maendeleo.

Jux ana akili sana kwa hiyo anacho jali cha msingi ni maendeleo bila kujali atakutanishwa na nani kwenye kufanya maendeleo!

Jux anacho fanya ndicho wenye akili wanatakiwa kufanya sio kukaa na kununa nuna au kulialia tuuu....
 
Nilivyoona title umekosea kuandika "kumshirikisha" nikajua bahati mbaya

Nimesoma Body nayo nakuta umeboronga zaidi umeandika "kumlishilisha"

Sasa niambie we mwenyewe nikuweke kundi gaani,jichagulie mwenyewe

kabla sijafanya maamuzi yangu...
[emoji1787][emoji1787]
 
Aman iwe nanyi

Katika kitu ambacho wasanii wanabug step ni kumshilikisha Diamond kwenye ngoma zao jamaa huwa anawafunika sana hadi wanaonekana kuwa wao ndo wameshilikishwa

Kwa mfano leo Jux kaachia album yake na kwenye album kuna ngoma kamshilikisha Diamond inaitwa sugua

Jux kafunikwa utadhanI yeye ndo kashilikishwa

Wasanii muwe mnatizama sana wasanii wa kuwashilikisha

Ni hayo tu

Asanten

LONDON BOY
hivi una adabu kweli...
 
Nilivyoona title umekosea kuandika "kumshirikisha" nikajua bahati mbaya

Nimesoma Body nayo nakuta umeboronga zaidi umeandika "kumlishilisha"

Sasa niambie we mwenyewe nikuweke kundi gaani,jichagulie mwenyewe

kabla sijafanya maamuzi yangu...
Mkuu umeamua kunivunja mbavu [emoji23] [emoji23] [emoji23] kabla hujatoa smg yako sio!?
 
Wivu ni tatizo lako mtoa mada,

#kutoa ngoma na diamondplatnuz tegemea ngoma hiyo kuwa hit na sio ilimradi.
 
Aman iwe nanyi

Katika kitu ambacho wasanii wanabug step ni kumshilikisha Diamond kwenye ngoma zao jamaa huwa anawafunika sana hadi wanaonekana kuwa wao ndo wameshilikishwa

Kwa mfano leo Jux kaachia album yake na kwenye album kuna ngoma kamshilisha Diamond inaitwa sugua

Jux kafunikwa utadhanI yeye ndo kashilikishwa

Wasanii muwe mnatizama sana wasanii wa kuwashilikisha

Ni hayo tu

Asanten

LONDON BOY
kwani kuna shida
 
Back
Top Bottom