Jux ni mmoja wa wasanii wa Tanzania wenye akili sana na hapendi kuweka au kuwekewa pingamizi akitaka kufanya maendeleo.
Jux ana akili sana kwa hiyo anacho jali cha msingi ni maendeleo bila kujali atakutanishwa na nani kwenye kufanya maendeleo!
Jux anacho fanya ndicho wenye akili wanatakiwa kufanya sio kukaa na kununa nuna au kulialia tuuu....
Semenya lile jike dume?Ni bora uitwe semenya lakin siyo kilaza
[emoji1787][emoji1787]Nilivyoona title umekosea kuandika "kumshirikisha" nikajua bahati mbaya
Nimesoma Body nayo nakuta umeboronga zaidi umeandika "kumlishilisha"
Sasa niambie we mwenyewe nikuweke kundi gaani,jichagulie mwenyewe
kabla sijafanya maamuzi yangu...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ukiniweka kwenye kundi la vilaza utakosea sana
hivi una adabu kweli...Aman iwe nanyi
Katika kitu ambacho wasanii wanabug step ni kumshilikisha Diamond kwenye ngoma zao jamaa huwa anawafunika sana hadi wanaonekana kuwa wao ndo wameshilikishwa
Kwa mfano leo Jux kaachia album yake na kwenye album kuna ngoma kamshilikisha Diamond inaitwa sugua
Jux kafunikwa utadhanI yeye ndo kashilikishwa
Wasanii muwe mnatizama sana wasanii wa kuwashilikisha
Ni hayo tu
Asanten
LONDON BOY
Mkuu umeamua kunivunja mbavu [emoji23] [emoji23] [emoji23] kabla hujatoa smg yako sio!?Nilivyoona title umekosea kuandika "kumshirikisha" nikajua bahati mbaya
Nimesoma Body nayo nakuta umeboronga zaidi umeandika "kumlishilisha"
Sasa niambie we mwenyewe nikuweke kundi gaani,jichagulie mwenyewe
kabla sijafanya maamuzi yangu...
kwani kuna shidaAman iwe nanyi
Katika kitu ambacho wasanii wanabug step ni kumshilikisha Diamond kwenye ngoma zao jamaa huwa anawafunika sana hadi wanaonekana kuwa wao ndo wameshilikishwa
Kwa mfano leo Jux kaachia album yake na kwenye album kuna ngoma kamshilisha Diamond inaitwa sugua
Jux kafunikwa utadhanI yeye ndo kashilikishwa
Wasanii muwe mnatizama sana wasanii wa kuwashilikisha
Ni hayo tu
Asanten
LONDON BOY