Ingawa katiba inaonekana sio muhimu kwasasa lakini magumu tunayopambana nayo sasa mengi yao yametokana na mianya iliyomo kwenye katiba. Mafanikio ya awamu ya tano yalindwe na kuendelezwa kwa Katiba sio kwa kumuongezea Rais Magufuli muda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.