kavulata JF-Expert Member Joined Aug 2, 2012 Posts 13,778 Reaction score 14,214 Aug 8, 2017 #1 Ingawa katiba inaonekana sio muhimu kwasasa lakini magumu tunayopambana nayo sasa mengi yao yametokana na mianya iliyomo kwenye katiba. Mafanikio ya awamu ya tano yalindwe na kuendelezwa kwa Katiba sio kwa kumuongezea Rais Magufuli muda.
Ingawa katiba inaonekana sio muhimu kwasasa lakini magumu tunayopambana nayo sasa mengi yao yametokana na mianya iliyomo kwenye katiba. Mafanikio ya awamu ya tano yalindwe na kuendelezwa kwa Katiba sio kwa kumuongezea Rais Magufuli muda.