Na ndo inatakiwa hivyo hata kulingana na mujibu wa katiba ni haki yangu kukaa kwa dada yangu na ni haki yangu Samia kunijaza mipesaBasi endelea kukaa hapo kwa shem wako Samia atakujaza mipesa tele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndo inatakiwa hivyo hata kulingana na mujibu wa katiba ni haki yangu kukaa kwa dada yangu na ni haki yangu Samia kunijaza mipesaBasi endelea kukaa hapo kwa shem wako Samia atakujaza mipesa tele
Mungu hupitisha msaada kupitia kwa watu.Sawa.
Kila mtu atabeba mzigo wake, pengine hii bado hujaijua vyema.
Hiyo ndio Kanuni.
Kila mtu apambane na Hali yake.
Kama aliyemuumba au aliyetuumba ameshindwa kutusaidia unafikiri wewe binadamu utaweza.
Mungu anamaana zake kuiacha Dunia iwe hivi ilivyo.
Hata hivyo sitaki kubishana na mtu hapa.
Kama hujajionea basi omba uzima utanielewa siku moja
Mungu hupitisha msaada kupitia kwa watu.
Unapomhurumia masikini unamkopesha Mungu,yeye anawategemeza hao watu..
Iko hivyo mkuu.
Wala hatubishani bali tunatoa mawazo,au uzi wako hauruhusu kupokea mawazo tofauti na uliyoandika wewe?
Ila aliyoongea yote ni kweli
Tuwasaidie wahitaji.
Vp kuhusu uongozi wakipewa mamlaka??bila kukupesa watu masikini wakutupwa wakipewa nafasi huwa wanafanya maajabu makubwa sana katika taasisi na nyanja mbalimbali, hata mashuleni fuatilia vizuri utaona mayatima wanavyoperform vizuri sana na wana nidhamu ya juu sana....
Naona umefananisha umasikini na ushamba kwasababu ukimsomesha mtu mshamba na akajanjaruka, ataanza kweli kuwa na tabia za ajabu, lakini ukimsomesha masikini atakulipa fadhira na ataweka mazingira yawewe kuendelea kumuamini....
Nimejibu kwa kuzingatia muktadha wa mada, ila najua unaweza kuwa umemaanisha vitu vingine kabisa kama fasihi inavyokupa uwanda mpana......
Maandiko ya vitabu yanatwambiaje? kumsaidia Maskini au tumuache afe kwa njaa na kiu?
Una maana kwa kuwa Mungu ndie kawaumba hao masikini basi ni yeye anajua watakula nini. Tazama ndege wa angani wanakula na kushiba na hawana shamba.
Masikini yupo tayari auze ng’ombe wake alaf akamloge jirani yake aliepata kazi. Masikini [emoji706]
Vp kuhusu uongozi wakipewa mamlaka??
Huelewi inaposemwa alifanyika laana kwaaji ya yetu? 😄😄Yesu alizaliwa ktk mazingira duni na kuishi ktk maisha duni.
Huelewi inaposemwa alifanyika laana kwaaji ya yetu? 😄😄
YESU ALIKUWA SAIS YA KATI
YUDA NDO ACCOUNTANT WAKE
NA ALIKUWA ANA ELA YA USEREMALA PIA